Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
tanesko washachakachua!pumbafff cdm jitahidini tuwang'oe hawa wapuuzi.aaaghrrrr¥
Stephan Mwasika gooooooooooooooooo twendeni SIMBA KAPAKATWA tukale maraha leooooooooooooo hahahahahahaha
Mechi inaendeleaje wakuu.
simba 1 yanga 1
Kwa sasa sizipendi kabisa Simba na Yanga kwa vile hazijaleta matunda kitaifa.
Afadhali iibuke timu mpya kama ilivyo AZAM kutuletea sifa kimataifa kama ilivyokuwa zama za UK Liverpool kugaragazwa na Manchester.
Hizi ni timu zee zinakamiana zenyewe kulinda majina kitaifa lakini si kuliletea taifa sifa.
wewe shabiki wa yanga
wewe shabiki wa yanga