simba wachawi

mbea sana

Member
Joined
Mar 3, 2012
Posts
12
Reaction score
0
Acheni kuishangilia hii timu,Mpira wa kibongo uchawi,mmeshinda usiku kucha kupanda mayai visa,simba wachawi,magoli yenu ya kimagilini sana
 
Nimefungua hii account kuwapa umbea wa town,mimi mototo ya mujini,kaeni chonjo
 
duh.!kweli akili ni nywele kila mtu ana zake..ila we una kipara..
 
Huwezi kumjua mchawi kama na wewe sio MCHAWI
 
Acheni kuishangilia hii timu,Mpira wa kibongo uchawi,mmeshinda usiku kucha kupanda mayai visa,simba wachawi,magoli yenu ya kimagilini sana
Duh,nakuonea huruma kama bado uko kwenye ulimwengu wa watu wanaofikiri hivyo vituko unavyosema.yani umekurupuka huko uje kutueleza hayo nakusikitikia sanaa poleeee!
 
Acha kuamini imani potofu wewe...Kiyovu wamezidiwa kiwango tu kwa sababu si wakali kihivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…