Ushahidi wa yote haya uko wapi? Tukisema Vijana wa Siku acheni tabia za Kupigiwa Miluzi kwani zinawaharibu hadi Akili zenu mnaona tunawaonea. Yaani hapa umeshatoka Kupigishwa zako Miluzi na Kuchoshwa vilivyo ukaamua kuja kumalizia Hasira zako kwa Kutunga Habari za Uwongo kuhusu Simba SC. Wanaume Wapiga Miluzi mna taabu mno.