Mmoja wa timu ya Simba aliyefahamika kwa jina la Rajabu Jota alikamatwa na mashabiki wa Stand United akimwaga dawa katika mlango wa kutokea wachezaji wa timu ya Stand United.
Kitendo hicho kilisababisha mashabiki wa Stand kumchapa makofi na makonde kabla ya Jeshi la Polisi kufika eneo la tukio na kumchukua mtuhumiwa.
Baada ya mchezo kuisha kocha mkuu wa timu ya Stand Mathias Lure ameeleza kufurahishwa na matokeo hayo na kuahidi kuwa ataendelea kufanya mabo makubwa katika timu yake.
Kwa upande wake kocha mkuu wa Simba Golan Kuponovic amesema Stand siyo timu ya kubeza ni timu nzuri ndiyo maana wameshinda katika mchezo huo.
​
Kitendo hicho kilisababisha mashabiki wa Stand kumchapa makofi na makonde kabla ya Jeshi la Polisi kufika eneo la tukio na kumchukua mtuhumiwa.
Baada ya mchezo kuisha kocha mkuu wa timu ya Stand Mathias Lure ameeleza kufurahishwa na matokeo hayo na kuahidi kuwa ataendelea kufanya mabo makubwa katika timu yake.
Kwa upande wake kocha mkuu wa Simba Golan Kuponovic amesema Stand siyo timu ya kubeza ni timu nzuri ndiyo maana wameshinda katika mchezo huo.
​