Muda utaongea mkuuSema haiko kwenye fomu nzuri ila sio ya kufungwa kwenye mechi muhimu kama hii.
Inshort Galaxy hana timu ya kuifunga Simba.
Agreed 💯Sema haiko kwenye fomu nzuri ila sio ya kufungwa kwenye mechi muhimu kama hii.
Inshort Galaxy hana timu ya kuifunga Simba.
Kola atapita lakini kwa taaaabu saaaanaaaa🤓Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kama ile Simba original ilikula tatu, hii tia maji tia maji tegemea lolota bayaSema haiko kwenye fomu nzuri ila sio ya kufungwa kwenye mechi muhimu kama hii.
Inshort Galaxy hana timu ya kuifunga Simba.
Sema nini Mkuu uzi wa namna hii ..achana nazo tu ..wapambane wenyewe
Asije kuyakana bure baadaeangalia maneno yako
Mkifungwa je?Upigwe ban ya milele hata tukishinda
WanajisahulishaKama ile Simba original ilikula tatu, hii tia maji tia maji tegemea lolota baya
Matokeo yoyote yale apigwe ban.Mkifungwa je?
Daaah ya milele hapana mkuu....mtakosa madini humu ndaniUpigwe ban ya milele hata tukishinda
Tubeti mkuuKola atapita lakini kwa taaaabu saaaanaaaa[emoji851]