[emoji23][emoji23]Amesema kwamba:
Akifungwa Simba na Juaneng Galaxy mpigeni ban
Siku nikidoji ....utanikumbukaLabda madini ya chumvi...
Nmeahirisha mkuu ban isiwepo[emoji23][emoji23]Sawa.
Ni kitu gani yanga kafanya ambacho simba hajawahi kufanya?Wanajisahulisha
Kumpiga mwarabu mvua ya magoliNi kitu gani yanga kafanya ambacho simba hajawahi kufanya?
Vijana wenye low IQ TanzaniaJapo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
JS soura ni mchina yule?
Ma nigga kabisa wale sawa tu na horoyaJS soura ni mchina yule?
Amna mkuu...sisi ni content creatorVijana wenye low IQ Tanzania
Amna mkuu...sisi ni content creatorVijana wenye low IQ Tanzania
Sio Kwamba mi ndo niwafaidiSema tu wanasimba wote tukupige mtungo maana utatia adabu
Wew tukufaidi sababu umetupa odds zako na sisitumekupa zetu
Utakuwa umevuta wewe
Toa mali isiyohamishika ili tujue kama kweli upo seriously Labani ogmim nimemuomba tako maana ndio mali yake isiyohamishika
Tubeti kama vpToa mali isiyohamishika ili tujue kama kweli upo seriously Labani og
Kwakua ni wakiJUHA