Mbali ya Simba ni kufuzu hatua ya makundi ligi ya mabingwa licha ya kutokuchukua kombe lolote msimu uliopita na mbali ya utopolo ni kuangukia kombe la losers licha ya kuchukua makombe yoteMbali ya Simba ni kumaliza msimu bila kikombe chochote na Tafsiri ya umwamba katika soka ni makombe tu.
Kweli mazwazwa mpo wengi, eti kufika fainali world cup ni kazi bure??? Ningemkamata huyu aliyewaruhusu hata wapumbavu kumiliki smart phone ningemnyonga mchana kweupeIyo inaitwa kazi bure, Sio robo ya Wordcup ata wangefika fainali bila Kombe ni kazi bure. Duniani hakuna kombe la robo,nusu au fainali.
Simba Haina mshabiki mpumbavu dizaini yakoNa ndiyo maana tuliitwa mbumbumbu. Mwekezaji amejimilikisha timu kwa kuweka bilioni 20 hewa! Wala hatuhoji. Na badala yake tuko busy kuiombea njaa Yanga!
Misimu 4 ilopita mlichukua nyie?? Hebu ficheni akili zenu 2...mbali na kuchukua makombe yote misimu ile kimataifa tulikua wapi?? Au mnajisahau na kombe lenu hilo na bado kimataifa mkapigwa nje ndaniMbali ya Simba ni kumaliza msimu bila kikombe chochote na Tafsiri ya umwamba katika soka ni makombe tu.
Kwanza huyo hajui km Yanga kimataifa ni sawa na Singida Big star s, anajizima dataa tyuuhtukupe taarifa Morroco aliyefika nusu final world cup ndio taifa la kwanza Kwa ubora Africa na Senegal aliyefika robo na analo kombe la Africa anasubiri unaonaje?