Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Beki wa kati, Lameck Elias Lawi, ameanza rasmi leo katika kikosi cha Coastal Union kinachocheza dhidi ya Mashujaa FC, mechi ya ligi kwenye uwanja wa KMC Complex.
Lawi amejiunga na Coastal Union baada ya majadiliano ya muda mrefu kati ya Simba Sports Club na Coastal Union, ambapo Simba ilikubali kumuachia kwa manufaa ya taifa.
Soma pia: Lameck lawi alisainiwa na simba akatambulishwa ila yupo kambini na coastal union
Simba iliridhia kuachia mchezaji huyo baada ya kamati ya sheria na hadhi za wachezaji kuwataka klabu hizo mbili kukaa meza moja na kufikia makubaliano.
Lawi alialikwa kwenye majaribio ndani ya klabu ya AIK ya Ligi Kuu nchini Sweden baada ya kufeli majaribio yake kwenye klabu ya KAA Gent ya Ubelgiji, nyota huyo wa Coastal Union mwenye umri wa miaka 18 alifanya mazoezi na timu ya vijana ya AIK ya Umri chini ya miaka 19 na timu ya Wakubwa ikiwa ni sehemu ya majaribio yake.
Soma:
=> Maswali kuhusu usajili wa Lameck Lawi
Soma pia: Lameck lawi alisainiwa na simba akatambulishwa ila yupo kambini na coastal union
Simba iliridhia kuachia mchezaji huyo baada ya kamati ya sheria na hadhi za wachezaji kuwataka klabu hizo mbili kukaa meza moja na kufikia makubaliano.
Soma:
=> Maswali kuhusu usajili wa Lameck Lawi