Simba wakumbushwe mashindano wanayoshiriki

Simba wakumbushwe mashindano wanayoshiriki

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Inaonekana kama vile Simba na Yanga wanashiriki mashindano ya CAF ya aina Moja yenye ukubwa na hadhi Moja CAF. Tambo na furaha ya Simba ni kama vile Simba na Yanga wanashiriki mashindano ya aina Moja .Tuwakumnushe Simba kuwa wao wanashiriki kashindano ka CAF kanakoitwa shirikisho (CAF confederation), kashindano ka hovyo kanakohusisha timu hafifu kwenye ligi zao. Yanga inashiriki club bingwe (CAF champions), timu ngumu na mabingwa kwenye ligi zao.

Hivyo mashabiki na wadau wa mpira wakiwemo wanahabari na wachambuzi muujulishe umma kuhusu tofauti hizi za mashindano. Hakuna comparison kati ya shinda na kushindwa CAF confederation na CAF championship; ni kofo na usingizi. Yanga ilicheza final za CAF confederation juzijuzi TU lakini hakuna timu ya Tanzania iliyowajlhi kugusa hata nusu final za CAF championship; ni magumu sana.
 
Bingwa wa Champions league anaongezewa nyota kwenye logo yake. Ila bingwa wa confederation hapati hiyo fursa.

Bingwa wa champions league anaqualify kushiriki Fifa Club world cup. Ila bingwa wa shirikisho hapati hiyo fursa.

Sijawai kuona mamelodi anashiriki confederation cup.

Ama mwamba Al ahly huwezi mkuta shirikisho anashiriki
 
Bingwa wa Champions league anaongezewa nyota kwenye logo yake. Ila bingwa wa confederation hapati hiyo fursa.

Bingwa wa champions league anaqualify kushiriki Fifa Club world cup. Ila bingwa wa shirikisho hapati hiyo fursa.

Sijawai kuona mamelodi anashiriki confederation cup.

Ama mwamba Al ahly huwezi mkuta shirikisho anashiriki
Simba wakumbushwe kuhusu haya. Wanachekelea kana kwamba Yanga na Simba wanashiriki mashindano ya aina Moja.
 
Kwa sasa hapa bongo confederation ni kubwa kuliko champions league

Simba ni jitu kubwaaaa
Inaonekana kama vile Simba na Yanga wanashiriki mashindano ya CAF ya aina Moja yenye ukubwa na hadhi Moja CAF. Tambo na furaha ya Simba ni kama vile Simba na Yanga wanashiriki mashindano ya aina Moja .Tuwakumnushe Simba kuwa wao wanashiriki kashindano ka CAF kanakoitwa shirikisho (CAF confederation), kashindano ka hovyo kanakohusisha timu hafifu kwenye ligi zao. Yanga inashiriki club bingwe (CAF champions), timu ngumu na mabingwa kwenye ligi zao.

Hivyo mashabiki na wadau wa mpira wakiwemo wanahabari na wachambuzi muujulishe umma kuhusu tofauti hizi za mashindano. Hakuna comparison kati ya shinda na kushindwa CAF confederation na CAF championship; ni kofo na usingizi. Yanga ilicheza final za CAF confederation juzijuzi TU lakini hakuna timu ya Tanzania iliyowajlhi kugusa hata nusu final za CAF championship; ni magumu sana.
 
Huko caf championship nyie vyura mna point ngapi au mme enda kuli haibisha taifa.
Kila mara humu jukwaani huwa nafurahi kuona kolo mpya ambae sijawahi kumfahamu kabla ila maneno yao daima ni kurwa na doto na ukijibizana nae atatukana hadi mizimu ya kwenu na hapo nasema hakika huyu ni kolo OG.

Wakati Yanga ikitinga fainali kombe la rede kwa single mothers, eti Simba bado inafurukuta huko iko nafasi ya tatu, hata kuingia robo fainali ni bahati majibu, ni kweli Yanga tumepotea sana klabu bingwa baada ya timu kulewa mafanikio ila klabu bingwa ndiko ambako Yanga tunastahili kucheza kwa uwezo wetu, kuteleza si kuanguka, tukifeli this time tutajipanga for another time next season , Simba ilipo sasa Shirikisho ndiko kwenye hadhi yao nako ni tia maji tia maji marefa hawamalizi game za home hadi Kibudenga afunge dakika za maporomoko ya upande wa pili maana dkk 90 zinaisha, zinafuata za majeruhi zinaisha, zinafuata za refa zinaisha, zinafuata za vibendera zinaisha, zinafuata za kamisaa zinaisha, zinafuata za mechi ijayo refa anaiba kidogo kusubiri goli la Kibu, simba haitoboi makundi, niko paleee
 
Hii thread imekuja kwa kuchelewa sana, ilitakiwa ije wakati ndio mashindano yanaanza.

Mdakuzi na wenzie wanajisahau, haya ni mashindano tofauti. Ushindi shirikisho ni sare klabu bingwa.
 
Inaonekana kama vile Simba na Yanga wanashiriki mashindano ya CAF ya aina Moja yenye ukubwa na hadhi Moja CAF.
Kila mmoja achungulie point alizo nazo kwenye mashindano yake
 
Yanga kwa kweli analitia aibu sana Taifa huko klabu bingwa

Kqgongwa 2 mtungi kwa mkapa.

Lini sijui atauenzi huu uwanja kama anavyoutendea haki mnyama kimataifa.

Yaani hata mwarabu mweusi ambaye hata kwake amekimbia sababu ya vita anamshinda?

Aibu sana aisee.

Hii sura kama mtanzania naificha wapi sijui aisee
 
Huko caf championship nyie vyura mna point ngapi au mme enda kuli haibisha taifa.
Usilinganishe championship na confederation kaka. Ndio maana Azam alinusa TU na kutupwa nje kabisaaaaaa!! Hakuna lelemama kule, ndiyo maana Simba alishindwa kunusa kabisaaaaaa mashindano hayo msimu huu.
 
Kila mara humu jukwaani huwa nafurahi kuona kolo mpya ambae sijawahi kumfahamu kabla ila maneno yao daima ni kurwa na doto na ukijibizana nae atatukana hadi mizimu ya kwenu na hapo nasema hakika huyu ni kolo OG.

Wakati Yanga ikitinga fainali kombe la rede kwa single mothers, eti Simba bado inafurukuta huko iko nafasi ya tatu, hata kuingia robo fainali ni bahati majibu, ni kweli Yanga tumepotea sana klabu bingwa baada ya timu kulewa mafanikio ila klabu bingwa ndiko ambako Yanga tunastahili kucheza kwa uwezo wetu, kuteleza si kuanguka, tukifeli this time tutajipanga for another time next season , Simba ilipo sasa Shirikisho ndiko kwenye hadhi yao nako ni tia maji tia maji marefa hawamalizi game za home hadi Kibudenga afunge dakika za maporomoko ya upande wa pili maana dkk 90 zinaisha, zinafuata za majeruhi zinaisha, zinafuata za refa zinaisha, zinafuata za vibendera zinaisha, zinafuata za kamisaa zinaisha, zinafuata za mechi ijayo refa anaiba kidogo kusubiri goli la Kibu, simba haitoboi makundi, niko paleee
Imebakiza mechi za ugenini zote, pulizapuliza sijui itakuwaje hapa na marefa sijui itawapata wapi.
 
Kila mmoja achungulie point alizo nazo kwenye mashindano yake
Hakuna ulinganifu hapo. Kama Azam angeshiriki CAF confederation nadhani asingetolewa mapema vile. Championship ni level ya dunia, bingwa wake anakwenda kucheza level ya dunia. Msijisahaulishe
 
Kila mara humu jukwaani huwa nafurahi kuona kolo mpya ambae sijawahi kumfahamu kabla ila maneno yao daima ni kurwa na doto na ukijibizana nae atatukana hadi mizimu ya kwenu na hapo nasema hakika huyu ni kolo OG.

Wakati Yanga ikitinga fainali kombe la rede kwa single mothers, eti Simba bado inafurukuta huko iko nafasi ya tatu, hata kuingia robo fainali ni bahati majibu, ni kweli Yanga tumepotea sana klabu bingwa baada ya timu kulewa mafanikio ila klabu bingwa ndiko ambako Yanga tunastahili kucheza kwa uwezo wetu, kuteleza si kuanguka, tukifeli this time tutajipanga for another time next season , Simba ilipo sasa Shirikisho ndiko kwenye hadhi yao nako ni tia maji tia maji marefa hawamalizi game za home hadi Kibudenga afunge dakika za maporomoko ya upande wa pili maana dkk 90 zinaisha, zinafuata za majeruhi zinaisha, zinafuata za refa zinaisha, zinafuata za vibendera zinaisha, zinafuata za kamisaa zinaisha, zinafuata za mechi ijayo refa anaiba kidogo kusubiri goli la Kibu, simba haitoboi makundi, niko paleee
Hayo mafanikio mliyolewa klabu bingwa ni yap????Hakika aliyewaita utopolo alitafakari mbali sana
 
Hayo mafanikio mliyolewa klabu bingwa ni yap????Hakika aliyewaita utopolo alitafakari mbali sana
Ubingwa mara 3, kucheza finali CAF confederation, kufika robo finali CAF championship, kutoka sare na mamelods, kuifunga kaiser 4-1, kupata goli dhidi ya timu ya ujerumani, kushinda ngao ya jamii, kuifunga Simba mara 4 mfululizo na kupata clean sheets 8 mfululizo. Hayo sio mafanikio?
 
Wenzetu wapo club bingwa na wanaongoza kundi wapo nafasi ya kwanza kutoka mwisho na wala hawaringi.

Jumamosi Tp anakuja kusokomeza huo mwiko nyuma iliwaendelee kuongoza kundi .
 
Wenzetu wapo club bingwa na wanaongoza kundi wapo nafasi ya kwanza kutoka mwisho na wala hawaringi.

Jumamosi Tp anakuja kusokomeza huo mwiko nyuma iliwaendelee kuongoza kundi .
Hahaha! Hizi ndio akili za wanasimba wote popote walipo. Baada ya kufungwa mara 4 mfululizo na YANGA akili hazijawarudia.
 
Back
Top Bottom