njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
okayUtopolo msimu huu mjipange simba tuna jambo letu
Si lazima uandike kama huna uhakika na kitu.Abo Hamad Ni jina la mtu siyo timu na hakuna timu ya hivyo egypt
OKAYAbo Hamad Ni jina la mtu siyo timu na hakuna timu ya hivyo egypt
Achana naye hana anachojua anapinga tu.OKAY
Umeacha kuifuatilia Utopololo ikiwa Mlogolo unasahihisha vitu vidogovidogo?Fuatilia Yanga wanacheza na wauza mitumba wa Mlogolo!Jamani embu haya mambo yakae sawa, watu wa graphics wa simba nafikiri ni vilaza flani hivi slow learners sana
team imecheza na Abo hamad ya misri iliyopo daraja la pili siyo al akdoodya saud arabia ila ushindi ni uleulewa wa 6-0
naomba kuwakilisha
matokeo ya yanga jana wamepigwa 12-1 na week ijayo watacheza watafungwa 4-0 , haya hapa matokeo ya week ijayoUmeacha kuifuatilia Utopololo ikiwa Mlogolo unasahihisha vitu vidogovidogo?Fuatilia Yanga wanacheza na wauza mitumba wa Mlogolo!
Hawakulia?Au walisema watashtaki CAS!?matokeo ya yanga jana wamepigwa 12-1 na week ijayo watacheza watafungwa 4-0 , haya hapa matokeo ya week ijayo
View attachment 2301980
Eti mkuu hivi ile ya simba kufungwa 12-0 ni kweli? manake utopolo wananitaiti kweli.Jamani embu haya mambo yakae sawa, watu wa graphics wa simba nafikiri ni vilaza flani hivi slow learners sana
team imecheza na Abo hamad ya misri iliyopo daraja la pili siyo al akdoodya saud arabia ila ushindi ni uleulewa wa 6-0
naomba kuwakilisha