Sasa unachangia ili iweje?UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AKILI KICHWANI ZINAAZA KUYEYUKA.
JJFF INAZIDI KUPOTEZA MVUTO KWA KASI.
Jumlisha na kile CHAMAUKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AKILI KICHWANI ZINAAZA KUYEYUKA.
JJFF INAZIDI KUPOTEZA MVUTO KWA KASI.
Mimi ni kichaa sina akili kabisa.Sasa unachangia ili iweje?
Me naona we ndio huna akili kabisa.
Hapa bongo kuna scout gani bwana wewe sisi tunabahatisha wachezaji tu. Huko wenzetu wanamwangalia mchezaji mechi za kutosha kujiridhisha, sisi huku tunaenda na upepo tu.Taarifa hizi ni kwa mujibu wa kipindi cha michezo cha global TV kinachoitwa kross dongo. Inasemekana jina lake lilikuwepo kwenye orodha ya wachezaji waliopendekezwa na scout ya simba mwishoni mwa msimu uliopita.
wameenda mbali zaidi na kusema Pa Omary na Fredy sio mapendekezo ya scout ya simba bali ni maamuzi ya viongozi na utafiti walioamua kuufanya wao kama wao bila kuhusisha scout.