Simba waliwakosea nini Yanga?

Na wewe umeamini Ili kua ni kwel inafikilisha sana kama wewe ni mtu mzima unafamilia
 
Huu ujinga ndio huwa unanifanya niamini hata haya yanayosemwa yanaweza kuwa na ukweli
 
Reactions: Tui
Maskini hajajua umequote hivyo kwa sababu gani.Eti ufungue mada kuhusu uchawi!!!
Watu hamna akili mkutano mkuu mna ambiwa group la WhatsApp ni mafanikio mnashangilia sasa hivi mmejazwa Jwaneng walikua Avic mmejaa
 
Yote ni mipango ya Mungu kuufarakanisha utawala wa shetani. Hivi sasa tunavyoongea Jwaneng Galaxy wanaitazama Yanga kwa jicho la tahadhari, maana wamelishwa sumu (kwa madai yao) wakiwa katika mazingira waliyoyaamini kwamba ni mikono salama
Swadakta mkuu
 
Sema engineer kuvaa jezi ya kaizer Kuna kaushamba alikaonyesha pale
 
Nawe toa ushuzi wako, hilo hadi viongozi wa Serikali wamelikanusha alafu we mwehu wa nyakatuntu unalikuza bila sababu.
SaSaw
Nawe toa ushuzi wako, hilo hadi viongozi wa Serikali wamelikanusha alafu we mwehu wa nyakatuntu unalikuza bila sababu.
Tatizo ni kwamba hamna akili Yanga walikua wana pata faida gani kwenye hio mechi kiasi kwamba watumie pesa nyingi kiasi hicho kuwa gharamia Jwaneng return yao ilikua ni ipi?
Sababu ya wivu kwa Mnnyama
 
[QUOTE="Kanali kunde, post: 49560801, member:
Nawe toa ushuzi wako, hilo hadi viongozi wa Serikali wamelikanusha alafu we mwehu wa nyakatuntu unalikuza bila sababu.
[/QUOTE]
Neno Ushuzi limekukaa sana kichwani, au break za nyuma zimelegea
 
Mkuu wenye akili ni wawili Yanga, Sunday Manara na Kikwete, hao wengine unaowaona ni wanatumia dozi.
Bora kuna wawili huko wenye akili. Hivi Rage aliondoa watu pale aliposema mashabiki wa upande huo ni mbumbumbu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…