Simba waliyajua mapema ndiyo maana wakaukataa uwanja wa Chamazi, Azam mtajuta kuwapa utopolo uwanja

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Simba wamekataa kutumia uwanja wa chamazi kwa ajili ya mashindano yoyote yale, wako tayari wakacheze uwanja wa nanjirinji kilwa lakini sio uwanja wa Chamazi, kwa sasa uwanja wa chamazi ni mali ya yanga, yoyote anayetaka kuharibikiwa basi akaombe kutumia uwanja wa chamazi, sio salama tena, ni uwanja ambao wazee wa vyura wameshauchafua.

Simba hongereni sana kwa kuligundua hilo, tuendelee kutumia uwanja wa uhuru mwanzo mwisho.

Hao wenye uwanja wao Leo wameondolewa kwenye mashindano wamewakabidhi ndugu zao wa jangwani.
 
Simba wamekataa kutumia uwanja wa chamazi kwa ajili ya mashindano yoyote yale, wako tayari wakacheze uwanja wa nanjirinji kilwa lakini sio uwanja wa chamazi...
Mlivyo pigwa 3 kwa moja na wale Makirikiri uwanja aliuchafua nani.

Azam kocha kazingua, sema basi kuna mentality ya kuwaona makocha wa Kibongo hawafai, hii timu wangempa Mgunda angeibadilisha ndani ya kipindi kifupi kama alivyofanya Simba.

Wameenda Tunisia lkn wapi bora wangebaki Chamanzi tuu na Yusuph apunguze Chawa kwenye Management ya Azam FC, sometimes wana muharibia timu.

We mtu kama Ndala unamuacha, sijui kocha alifikiria nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…