Simba wamchukue Kocha wa JKT Queen Estre Chabruma

Kwa sababu ni bora Zaidi ya Matola
Upo sahihi mkuu..na nasema tena .simba wakitaka simbayao ikue. Matola na mgunda wasipewe nafasi..na ikiwezekana wawekewe sheria ya kutokuajiliwa kama makocha wala benchi la ufundi.
Simba itakua.
Hawa watu wawili ndio wanafanya simba inadumaa kwenye bench la ufundi, ukiachilia kwenye uongozi wa juu. Hata walete kocha mkubwa kiasi gani hata dumu hapo.
 
Waache hivyo hivyo

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…