Simba wamegeuka kuwa marafiki wa Mzize. Hakika wamemkubali

Simba wamegeuka kuwa marafiki wa Mzize. Hakika wamemkubali

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.

Mjue mimi kama mchambuzi nguli kabisa hapa JF nimekuwa nikishangazwa na tabia ya ndugu zangu mashabiki wa Simba sc.!

Wao wana tabia za ajabu sana na zinashangaza sana. Leo hii wamejifanya marafiki wa mzize ..!

Sote tunajua mzize amepata ofa kutoka wydad zaidi ya 3 na nyingine kutoka Al ahly Tripoli ambazo ni mabilioni ya pesa .

Wydad wamefika kwenye billion moja na ushee lakini waajiri wake yanga wamekataa ofa hizo kwani mzize ni mkubwa kuliko ofa hizo at least billion 3 ingefaa wangesikilizwa!

Sasa hawa simba hasa humu wamekuwa wakijifanya wanamtakia mema mzize ghafla amekuwa eti rafiki yao .

"Dogo mpira mfupi sana nenda uarabuni kapige pesa"aliskika jamaa mmoja humu mwanasimba mwenye komwe kama goti...

"Yanga wana tabia ya kung'ang'ania wachezaji" aliskika mzee mwengine humu shabiki wa Simba.

"Dogo angekuwa simba tungeshamuuza hatunaga mambo hayo" mwengine akasikika.

OK sawa.

Ninachoweza kukisema ni kuwa mashabiki wa Simba either ni akili ndogo sana ni nature ya team yao kuwa na vilaza kwa miaka mingi sana, hata mitaani mashabiki wengi wa team hiyo hawajasoma na kuelimika, yaani shule haipo kichwank kabisa wao ni uongo, umbeya,unafki, na wizi, vibaka wengi ni simba nyie mashahidi. Hii inapelekea kushindwa kuona hoja hizi kuhusu mzize wanayetaka yanga wamuuze.

1:WANATAKA AUZWE ILI VIPIGO VIPUNGUE KWAO..

SIMBA wanataka Mzize auzwe ili balaa Lake liondoke mjini hapa maana huwa anawashenyeta sana na kuwanyanyasa mnoo, nq ukicheki kasi yake aliyonayo sasa wanaogopa namna watakavyoaibika siku watakapokutana na yanga.

2: MZIZE AUZWE ILI KUIPUNGUZA NGUVU YANGA,

Maana wao kuuza wachezaji hawataki Kabisa ila kwa wachezaji wa wengine ndiyo wauzwe?

Case study:Aishi Salum Manula.

Kijana amekuwa kwenye bifu na uongozi wake kiasi kwamba imekuwa nongwa na wanamtesa sana
Hawataki kumuuza na kumpa namba pia hawampi!

Ameomba kuuzwa kwenda azam lakini bado wanakataa na wana makipa 5!

Je hawajui manula naye anataka kupiga pesa na kulinda kipaji chake pia?

Ni matatizo makubwa ya akili waliyonayo.

Kipa mkubwa kama manula kuwekwa nje bila sababu ya msingi ni ujinga wa viongozi wao hivyo hoja ya mzize kuuzwa haina mashiko.

Yanga watamuuza Mzize wakimaliza mission yao msimu huu na sio vinginevyo.

Pia Wydad siku za karibuni wamekuwa waharibifu wa vipaji vya watu weusi sana
Case study: Simon Msuva, Arsenal Zola Kiaku na wengineo.

Simba acheni utoto.
Its Pancho
 
Kuna huyu jamaa mmoja humu tunaheshimiana tu sana

Ila siku alipoongea utumbo wake mmoja kuhusu team yake ya simba ndipo nikamdharau mazima mpaka leo hii
 
Ni kweli maisha ya mpira mafupi, kama kuna ofa mezani aende akavute mkwanja.

Kina ajibu, ngasa, samatta na msuva wawe case study.
 
I salute you kinsmen.

Mjue mimi kama mchambuzi nguli kabisa hapa JF nimekuwa nikishangazwa na tabia ya ndugu zangu mashabiki wa Simba sc.!

Wao wana tabia za ajabu sana na zinashangaza sana. Leo hii wamejifanya marafiki wa mzize ..!

Sote tunajua mzize amepata ofa kutoka wydad zaidi ya 3 na nyingine kutoka Al ahly Tripoli ambazo ni mabilioni ya pesa .

Wydad wamefika kwenye billion moja na ushee lakini waajiri wake yanga wamekataa ofa hizo kwani mzize ni mkubwa kuliko ofa hizo at least billion 3 ingefaa wangesikilizwa!

Sasa hawa simba hasa humu wamekuwa wakijifanya wanamtakia mema mzize ghafla amekuwa eti rafiki yao .

"Dogo mpira mfupi sana nenda uarabuni kapige pesa"aliskika jamaa mmoja humu mwanasimba mwenye komwe kama goti...

"Yanga wana tabia ya kung'ang'ania wachezaji" aliskika mzee mwengine humu shabiki wa Simba.

"Dogo angekuwa simba tungeshamuuza hatunaga mambo hayo" mwengine akasikika.

OK sawa.

Ninachoweza kukisema ni kuwa mashabiki wa Simba either ni akili ndogo sana ni nature ya team yao kuwa na vilaza kwa miaka mingi sana, hata mitaani mashabiki wengi wa team hiyo hawajasoma na kuelimika, yaani shule haipo kichwank kabisa wao ni uongo, umbeya,unafki, na wizi, vibaka wengi ni simba nyie mashahidi. Hii inapelekea kushindwa kuona hoja hizi kuhusu mzize wanayetaka yanga wamuuze.

1:WANATAKA AUZWE ILI VIPIGO VIPUNGUE KWAO..

SIMBA wanataka Mzize auzwe ili balaa Lake liondoke mjini hapa maana huwa anawashenyeta sana na kuwanyanyasa mnoo, nq ukicheki kasi yake aliyonayo sasa wanaogopa namna watakavyoaibika siku watakapokutana na yanga.

2: MZIZE AUZWE ILI KUIPUNGUZA NGUVU YANGA,

Maana wao kuuza wachezaji hawataki Kabisa ila kwa wachezaji wa wengine ndiyo wauzwe?

Case study:Aishi Salum Manula.

Kijana amekuwa kwenye bifu na uongozi wake kiasi kwamba imekuwa nongwa na wanamtesa sana
Hawataki kumuuza na kumpa namba pia hawampi!

Ameomba kuuzwa kwenda azam lakini bado wanakataa na wana makipa 5!

Je hawajui manula naye anataka kupiga pesa na kulinda kipaji chake pia?

Ni matatizo makubwa ya akili waliyonayo.

Kipa mkubwa kama manula kuwekwa nje bila sababu ya msingi ni ujinga wa viongozi wao hivyo hoja ya mzize kuuzwa haina mashiko.

Yanga watamuuza Mzize wakimaliza mission yao msimu huu na sio vinginevyo.

Pia Wydad siku za karibuni wamekuwa waharibifu wa vipaji vya watu weusi sana
Case study: Simon Msuva, Arsenal Zola Kiaku na wengineo.

Simba acheni utoto.
Its Pancho
Utaficha uharo lakini harufu itakuumbua.Unakunya umeelekea kichakani huku matako yameelekea barabarani. Tafuta bwana kijana.Mzize kama mnamuuza au hamuuuzi ni mambo yenu.Kuhusu Manula je ni kipa wa Gongowazi? Kocha ndio anapanga timu na hapangiwi.
Unaficha nini au unaona aibu kuitwa gongowazi?Hauko proud na timu yako.Au una jinsia mbili moja ya uchambuzi uchwara na nyingine ya ugongowazi.Hujui uchague ipi.
 
Ni kweli maisha ya mpira mafupi, kama kuna ofa mezani aende akavute mkwanja.

Kina ajibu, ngasa, samatta na msuva wawe case study.
Yanga hawajakataa kumuuza elewa mzee

Hawawezi kumuuza kati kati ya mashindano hata simba wasingeweza hivyo .
 
Utaficha uharo lakini harufu itauumbua.Unakunya umelekea kichakani huku matako yameekea barabarani. Tafuta bwana kijana.Mzize kama mnamuuza au hamuuuzi ni mambo yenu.Kuhusu Manula je ni kipa wa Gongowazi? Kocha ndio anapanga timu na hapangiwi.
Unaficha nini au unaona aibu kuitwa gongowazi?Hauko proud na timu yako.Au una jinsia mbili moja ya uchambuzi uchwara na nyingine ya ugongowazi.Hujui uchague ipi.
Aliyemuelewa huyu hebu anitag
 
Akija kushuka kiwango gafla Yanga itapata faida gani? Maisha ya mpira hasa kwenye kuwika ni mafupi sana
 
I salute you kinsmen.

Mjue mimi kama mchambuzi nguli kabisa hapa JF nimekuwa nikishangazwa na tabia ya ndugu zangu mashabiki wa Simba sc.!

Wao wana tabia za ajabu sana na zinashangaza sana. Leo hii wamejifanya marafiki wa mzize ..!

Sote tunajua mzize amepata ofa kutoka wydad zaidi ya 3 na nyingine kutoka Al ahly Tripoli ambazo ni mabilioni ya pesa .

Wydad wamefika kwenye billion moja na ushee lakini waajiri wake yanga wamekataa ofa hizo kwani mzize ni mkubwa kuliko ofa hizo at least billion 3 ingefaa wangesikilizwa!

Sasa hawa simba hasa humu wamekuwa wakijifanya wanamtakia mema mzize ghafla amekuwa eti rafiki yao .

"Dogo mpira mfupi sana nenda uarabuni kapige pesa"aliskika jamaa mmoja humu mwanasimba mwenye komwe kama goti...

"Yanga wana tabia ya kung'ang'ania wachezaji" aliskika mzee mwengine humu shabiki wa Simba.

"Dogo angekuwa simba tungeshamuuza hatunaga mambo hayo" mwengine akasikika.

OK sawa.

Ninachoweza kukisema ni kuwa mashabiki wa Simba either ni akili ndogo sana ni nature ya team yao kuwa na vilaza kwa miaka mingi sana, hata mitaani mashabiki wengi wa team hiyo hawajasoma na kuelimika, yaani shule haipo kichwank kabisa wao ni uongo, umbeya,unafki, na wizi, vibaka wengi ni simba nyie mashahidi. Hii inapelekea kushindwa kuona hoja hizi kuhusu mzize wanayetaka yanga wamuuze.

1:WANATAKA AUZWE ILI VIPIGO VIPUNGUE KWAO..

SIMBA wanataka Mzize auzwe ili balaa Lake liondoke mjini hapa maana huwa anawashenyeta sana na kuwanyanyasa mnoo, nq ukicheki kasi yake aliyonayo sasa wanaogopa namna watakavyoaibika siku watakapokutana na yanga.

2: MZIZE AUZWE ILI KUIPUNGUZA NGUVU YANGA,

Maana wao kuuza wachezaji hawataki Kabisa ila kwa wachezaji wa wengine ndiyo wauzwe?

Case study:Aishi Salum Manula.

Kijana amekuwa kwenye bifu na uongozi wake kiasi kwamba imekuwa nongwa na wanamtesa sana
Hawataki kumuuza na kumpa namba pia hawampi!

Ameomba kuuzwa kwenda azam lakini bado wanakataa na wana makipa 5!

Je hawajui manula naye anataka kupiga pesa na kulinda kipaji chake pia?

Ni matatizo makubwa ya akili waliyonayo.

Kipa mkubwa kama manula kuwekwa nje bila sababu ya msingi ni ujinga wa viongozi wao hivyo hoja ya mzize kuuzwa haina mashiko.

Yanga watamuuza Mzize wakimaliza mission yao msimu huu na sio vinginevyo.

Pia Wydad siku za karibuni wamekuwa waharibifu wa vipaji vya watu weusi sana
Case study: Simon Msuva, Arsenal Zola Kiaku na wengineo.

Simba acheni utoto.
Its Pancho
Wao wanampigia debe mzize kwanini wasiuze wa kwao? Awawaoni? Si wanao kina mutale kina chasambi si wawauze? Wanatoa macho kwa wachezaji wa wenzao ambao klabu imewekeza kwao ndio inajua thamani yao ni Bei Gani,,mtu anaibuka tu ghafla kavimbiwa makande uko anaipangia yanga cha kufanya ni maajabu Aya!
 
Rage aliwaita mbumbumbu
Mangungu akawaleta Manzoki kwenye mkutano mkuu
Kaduguda akawaita malofa
Hapo nadhani jibu ushalipata
 
Basi mnamvimbisha bichwa baasa ya miaka 2 amezeekaa hana maajabu..anabaki kusubiria kuingia mechi bure kama mwenzie Ngasa
 
Washawishini hao jamaa waongeze hela. Msikae kutupresha tumuuze kwa bei chee mtucheke.
Angalia Luis Miquison, Simba walipiga hela,sasa hivi hata Kengold wanamtaka,unaweza kumzuia mchezaji na hata we mwenyewe usimfaidi maana hata morali yake inaweza kushuka ukimzuia sana
 
Angalia Luis Miquison, Simba walipiga hela,sasa hivi hata Kengold wanamtaka,unaweza kumzuia mchezaji na hata we mwenyewe usimfaidi maana hata morali yake inaweza kushuka ukimzuia sana
Mchezaji hajazuiwa, wao wameshapewa vipengele na mahitaji hitajika cha kushangaza wanaanza kutumia watu ku presha ili wapate kitonga
 
Wao wanampigia debe mzize kwanini wasiuze wa kwao? Awawaoni? Si wanao kina mutale kina chasambi si wawauze? Wanatoa macho kwa wachezaji wa wenzao ambao klabu imewekeza kwao ndio inajua thamani yao ni Bei Gani,,mtu anaibuka tu ghafla kavimbiwa makande uko anaipangia yanga cha kufanya ni maajabu Aya!
Yaani inashangaza
Nikisema hao jamaa hawana akili wanaona nawatukana sana

Kina chasambi wapo uzeni
 
Rage aliwaita mbumbumbu
Mangungu akawaleta Manzoki kwenye mkutano mkuu
Kaduguda akawaita malofa
Hapo nadhani jibu ushalipata
Hadi malofa? Tena naskia huyo mzee alikuwa anawadai chapati
 
Back
Top Bottom