kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Simba wajipange kama wamefanya ujanja ujanja kutaka kutangaza mke kabla ya kumlipia mahari wala kutambulika rasmi,tangu dahali na dahali coastal union hawajawahi shindwa kesi wamuulize Aden Rage aliwahi kuifungia na kusema ameifuta kwenye kwenye vitabu vy FAT.kama wamejipanga waende watakako.
Coastal wakisema wapo imara wapo imara kweli kweli kwa kuwa viongozi makini!
Coastal wakisema wapo imara wapo imara kweli kweli kwa kuwa viongozi makini!