Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kwa game aliyocheza Simba uharabuni NI wazi kwamba sasa Tanzania tupo mbele kwenye kila secta. Royal tour tumepiga promo na kwenye Mpira tumeanza kuwatunishia wakubwa misuli.
Tunahitaji kuwa na wanasiasa serious wanaoweza kufanya mambo serious Kwa ajili ya kudhibiti rasilimali zetu. Simba wamefanya Kwa Sababu Wana dhamira.....Wanasiasa wenye dhamira kama Wana Simba siwaoni.
Tunahitaji kuwa na wanasiasa serious wanaoweza kufanya mambo serious Kwa ajili ya kudhibiti rasilimali zetu. Simba wamefanya Kwa Sababu Wana dhamira.....Wanasiasa wenye dhamira kama Wana Simba siwaoni.