Simba wameruhusiwa kuingiza mashabiki mechi ya marudiano na Jwaneng Galax ya Botswana

Simba wameruhusiwa kuingiza mashabiki mechi ya marudiano na Jwaneng Galax ya Botswana

busha

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
1,712
Reaction score
2,577
Wakati Yanga wamepigwa faini kwa kukaidi agizo la CAF kuingiza mashabiki uwanjani mechi yao ya CAFCL,kwa Simba sports club hali ni tofauti.

Simba wameruhusiwa kuingiza mashabiki mechi ya marudiano na Jwaneng Galax ya Botswana itakayochezwa kwa Mkapa.

Na endapo Simba itafuzu kuingia makundi faini waliyopigwa Utopolo itaongezwa kiasi kingine cha fedha ili kupewa Simba sports club kwa kufuzu kuingia hatua ya makundi.

Simba one team one dream.

Simba nguvu moja.
 
Nimeamini kweli umbumbumbu ni moja ya vipaji.
 
Mbn kila siku yanga fkn robo bsc msimu huu naona hadi moja wa vigogo wa kwenye akaunti ya kigogo 2014 anawasapoti sw bn ilaangalia ucje juta ukatulaumu
 
Back
Top Bottom