Simba wameshaaga mashindano

mtzmweusi

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
8,658
Reaction score
8,994
Kwa ushindi kiduchu waliopata leo ni wazi simba wamejikatia tiketi ya kufurushwa kwenye mashindano ya Caf champions league wale wydad sio watu wazuri kule morocco wakikosea kabisa ni 3 bila au 3 kwa 1
 
Hii hatua ya robo fainali pia hii ni club bigwa usifikiri nikushindashindaa goli nyingi ko kua mpole mwana utopolo
 
Kwa ushindi kiduchu waliopata leo ni wazi simba wamejikatia tiketi ya kufurushwa kwenye mashindano ya Caf champions league wale wydad sio watu wazuri kule morocco wakikosea kabisa ni 3 bila au 3 kwa 1
Kwann simba wasishinde wao hizo gori huko..
Hakuna kisichowezekana mkiwa na nia thabiti knapambana hadi mwisho.
 
Kwa ushindi kiduchu waliopata leo ni wazi simba wamejikatia tiketi ya kufurushwa kwenye mashindano ya Caf champions league wale wydad sio watu wazuri kule morocco wakikosea kabisa ni 3 bila au 3 kwa 1
Subiri kesho
 
Huu ndo ujinga wa watu " pessimists" unaamini negativity badala positivity.

Huyo Wydad pia alitolewa na Kaizer chiefs 2021 hatua ya nusu fainali kwa aggregate ya goli moja tu (kwa mechi mbili zote)

Lolote laweza kutokea haijalishi ni nani.
 
Huu ndo ujinga wa watu " pessimists" unaamini negativity badala positivity.

Huyo Wydad pia alitolewa na Kaier chiefs 2021 hatua ya nusu fainali kwa aggregate ya goli moja tu (kwa mechi mbili zote)
Sio ujinga thats facts
 
Nimegundua Robertino ni fund...
Usishangae simba wakacheza Morroco Pila la kutisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…