Simba wamevuna walichopanda

Simba wamevuna walichopanda

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Natamani some days itokee timu nyingine pale nafasi ya 1 na ya 2 isiwepo SSC wala Yanga, tukifika hiyo hatua ni wazi kuwa ligi yetu itakuwa ni bora.

Timu kama Li SSC , sajili za mchongo, scouting za youtube, viongozi ni wazee ambao ni zero brain , halaf out of that timu iende CAFCL, ingekuwa ni udhalilishaji wa ligi. All the best Azam !

Ukilala kama wengine, utaamka kama wengi, simple like that ! Hakuna UCHAWI na KALUMANZILA kwenye mpira

endeleeni kukimhizana na Chama! Mkiamka it will be too late

Leo hii hata Aziz Key , akitaka kuondoka, we will let him go na Yanga itaendelea kuchukua makombe…..it is all about serious business ,, sio mambo ya mafanikio ya kibegi.

All the best Yanga for the consistency, naamini this time Yanga inacheza fainal CAFCL hata kwa bunduki, imedhamiria for life and death!

Bado kibegi ni sehemu ya mafanikio? [emoji1787]

Tuone kama Shirikisho mtavuka robo fainal , yanga alikwenda final
 
Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
 
Natamani some days itokee timu nyingine pale nafasi ya 1 na ya 2 isiwepo SSC wala Yanga, tukifika hiyo hatua ni wazi kuwa ligi yetu itakuwa ni bora.

Timu kama Li SSC , sajili za mchongo, scouting za youtube, viongozi ni wazee ambao ni zero brain , halaf out of that timu iende CAFCL, ingekuwa ni udhalilishaji wa ligi. All the best Azam !

Ukilala kama wengine, utaamka kama wengi, simple like that ! Hakuna UCHAWI na KALUMANZILA kwenye mpira

endeleeni kukimhizana na Chama! Mkiamka it will be too late

Leo hii hata Aziz Key , akitaka kuondoka, we will let him go na Yanga itaendelea kuchukua makombe…..it is all about serious business ,, sio mambo ya mafanikio ya kibegi.

All the best Yanga for the consistency, naamini this time Yanga inacheza fainal CAFCL hata kwa bunduki, imedhamiria for life and death!

Bado kibegi ni sehemu ya mafanikio? [emoji1787]

Tuone kama Shirikisho mtavuka robo fainal , yanga alikwenda final
Baaada ya wiki utaona wanasema wana Jambo Lao saa saba mchana, ukifatilia wanazindua kadi za umeme. Simba hawakusathili hata hiyo nafasi ya tatu
 
Viongozi wamedanganywa kwa kiza cha panzia tuliwaambia amkeni mkajisaidie chooni ....eti hoo bado usiku.....ona sasa wamejinyea hadharani
 
Natamani some days itokee timu nyingine pale nafasi ya 1 na ya 2 isiwepo SSC wala Yanga, tukifika hiyo hatua ni wazi kuwa ligi yetu itakuwa ni bora.

Timu kama Li SSC , sajili za mchongo, scouting za youtube, viongozi ni wazee ambao ni zero brain , halaf out of that timu iende CAFCL, ingekuwa ni udhalilishaji wa ligi. All the best Azam !

Ukilala kama wengine, utaamka kama wengi, simple like that ! Hakuna UCHAWI na KALUMANZILA kwenye mpira

endeleeni kukimhizana na Chama! Mkiamka it will be too late

Leo hii hata Aziz Key , akitaka kuondoka, we will let him go na Yanga itaendelea kuchukua makombe…..it is all about serious business ,, sio mambo ya mafanikio ya kibegi.

All the best Yanga for the consistency, naamini this time Yanga inacheza fainal CAFCL hata kwa bunduki, imedhamiria for life and death!

Bado kibegi ni sehemu ya mafanikio? [emoji1787]

Tuone kama Shirikisho mtavuka robo fainal , yanga alikwenda final
Inamaa Azam huwaoni? Kwa hatua wanazozipiga
 
Baaada ya wiki utaona wanasema wana Jambo Lao saa saba mchana, ukifatilia wanazindua kadi za umeme. Simba hawakusathili hata hiyo nafasi ya tatu

Jambo Lao , Halaf mwanataarabu Ahmed anapigia promo, only to be told kuwa tumefikisha kibegi mliman

Hawa jamaa hata kufika nafasi ya 3 inaonesha idhaifu wa ligi yetu

Walipaswa kuwa nafasi ya 5 wasishiriki michuano yoyote ya kimataita
 
Natamani some days itokee timu nyingine pale nafasi ya 1 na ya 2 isiwepo SSC wala Yanga, tukifika hiyo hatua ni wazi kuwa ligi yetu itakuwa ni bora.

Timu kama Li SSC , sajili za mchongo, scouting za youtube, viongozi ni wazee ambao ni zero brain , halaf out of that timu iende CAFCL, ingekuwa ni udhalilishaji wa ligi. All the best Azam !

Ukilala kama wengine, utaamka kama wengi, simple like that ! Hakuna UCHAWI na KALUMANZILA kwenye mpira

endeleeni kukimhizana na Chama! Mkiamka it will be too late

Leo hii hata Aziz Key , akitaka kuondoka, we will let him go na Yanga itaendelea kuchukua makombe…..it is all about serious business ,, sio mambo ya mafanikio ya kibegi.

All the best Yanga for the consistency, naamini this time Yanga inacheza fainal CAFCL hata kwa bunduki, imedhamiria for life and death!

Bado kibegi ni sehemu ya mafanikio? [emoji1787]

Tuone kama Shirikisho mtavuka robo fainal , yanga alikwenda final
Umeongea vyema Ila Hilo la chama ni yanga wanaomsajili Kila msimu lakini hachezi.
Hoja yako ni kutengeneza mgogoro Kati ya chama na Simba ili yanga wamsajuli kiulaini. Hivi unaweza kueleza yanga walitumia vigezo gani kumsajili Mkude au Okra.
 
Back
Top Bottom