Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Amelisajili hilo neno?! Hilo ni neno la kizaramo, halina uhusiano wowote na umilikishwaji wake kwa Mbwiga.Mnyonge mnyongeni huyu mzee ndio ametambulisha kwa ukubwa matumizi wa hayo maneno kwenye uwanda wa football hapa nchini.
Simba wamlipe huyu mzee kwa kutumia hayo maneno.
Kama humjui mzee mbwiga pita kimyakimya.
Acha mtusi we Yunge MkubwaWe msukule, mbwiga yeye hajaomba malipo, ila wewe mbwa wa jirani yake ndo unabwekabweka.
HahahaMpk misemo inalipiwa ?? Huu Uzi mwigulu akiona tuh .bunge lijalo utaskia tozo kwenye kauli zinazotrend
Mbwiga awalipe wazaramu kwa kutumia Methali zao bila idhini ya wazaramu wote duniani..Mnyonge mnyongeni huyu mzee ndio ametambulisha kwa ukubwa matumizi wa hayo maneno kwenye uwanda wa football hapa nchini.
Simba wamlipe huyu mzee kwa kutumia hayo maneno.
Kama humjui mzee mbwiga pita kimyakimya.
KumbeUbaya ubwela maana yake Ubaya umerudi (waluguru na wazaramo)
Kama ana hati miliki ya huo msemo aende mahakamani na atalipwa vzr tuMnyonge mnyongeni huyu mzee ndio ametambulisha kwa ukubwa matumizi wa hayo maneno kwenye uwanda wa football hapa nchini.
Simba wamlipe huyu mzee kwa kutumia hayo maneno.
Kama humjui mzee mbwiga pita kimyakimya.