chinchilla coat JF-Expert Member Joined May 16, 2016 Posts 5,107 Reaction score 10,969 Oct 7, 2016 #1 Klabu ya Simba imemuomba radhi rais Magufuli kutokana na vurugu zilizosababishwa na mashabiki wao na kuvunja viti uwanja wa taifa siku ya mechi yao na Yanga
Klabu ya Simba imemuomba radhi rais Magufuli kutokana na vurugu zilizosababishwa na mashabiki wao na kuvunja viti uwanja wa taifa siku ya mechi yao na Yanga
GOOGLE JF-Expert Member Joined Oct 29, 2012 Posts 1,889 Reaction score 1,127 Oct 7, 2016 #2 Naona simba inafanya mambo kiulayaulaya.
Ugiligili JF-Expert Member Joined Jun 20, 2014 Posts 3,023 Reaction score 4,055 Oct 7, 2016 #3 That's how Gents behave..ukifanya kosa unaomba msamaha..big up!!
Victor wa happy JF-Expert Member Joined Apr 24, 2013 Posts 11,660 Reaction score 11,654 Oct 7, 2016 #4 Ila mi nashangaa kitu kimoja tu Mtu anaweza kuwa anahojiwa kwenye media, from no where anaanza kumtaja magufuli halafu jambo analohojiwa haliusian kabisa na magufuli Huwa naishia kuzima au kuhamisha tu steshen
Ila mi nashangaa kitu kimoja tu Mtu anaweza kuwa anahojiwa kwenye media, from no where anaanza kumtaja magufuli halafu jambo analohojiwa haliusian kabisa na magufuli Huwa naishia kuzima au kuhamisha tu steshen