kWA kLABU MAKINI KAMA SIMBA HILO NI LAZIMA!
hilo lingekuwa swali kwa klabu kama yanga!
⚽⚽⚽Wanapewa asilimia 1. Hivyo watapata milion 23
Utakuwa ulifeli hesabu wewe bila shaka.General Mangi uko sahihi, Genk watalipa 10% kwa Tp Mazembe, Nao Tp Mazembe watatoa 10% ya kiasi walichopewa na Genk. Kwa hiyo hapo ni sawa na asilimia 1% , ambayo ni milioni 23( hapo bado kodi haijakatwa) hivyo ndio hesabu inavyokwenda kama hicho kipengele cha 10% kipo.
Kurukaruka koote huko kumbe mweupe kwa hesabu? Ngoja nikusaidie iwapo asilimia ulizotoa ni sahihi.General Mangi uko sahihi, Genk watalipa 10% kwa Tp Mazembe, Nao Tp Mazembe watatoa 10% ya kiasi walichopewa na Genk. Kwa hiyo hapo ni sawa na asilimia 1% , ambayo ni milioni 23( hapo bado kodi haijakatwa) hivyo ndio hesabu inavyokwenda kama hicho kipengele cha 10% kipo.
Achana naye Kandambili huyo ,mtani wa jadi.Utakuwa ulifeli hesabu wewe bila shaka.
Kweli bhana, siona namna Simba itakavyoweza kupeleka madai Genk au Aston Villa kwakuwa Simba haina mkataba na Genk. Labda kama Simba ingekuwa na mkataba na mchezaji mwenyewe. Tuache kudanganyana hapa.Kwa mkataba upi? Simba issue yake iliishia kwa TP Mazembe
[emoji23] [emoji23] asee unatumia nguvu nyingi sana! Hizo nguvu ungepunguzia kwenye ujenzi wa taifaSimba wanapata commission kama timu yake ya utotoni
Nguvu zipi,nikueleweshana tu.... Halafu hata hizo pesa mm hazinisaidii[emoji23] [emoji23] asee unatumia nguvu nyingi sana! Hizo nguvu ungepunguzia kwenye ujenzi wa taifa
Ha ha ha unachekesha. Walikubaliana na Mazembe popote watapomuuza watakatiwa sehemu ya dau hilo siyo kila atapokuwa anauzwaWewe ndio hutaki kuelewa hicho kipengele kilielezewa toka mbwana anaenda mazembe kuwa mara zote atakazouzwa simba wana mgao, nikwambie tu mimi sio simba fan
Shibwa alipata kiasi gani? Mazembe fc ilipomuuza Genk?For a simple reason. Mkataba wa Simba na TP Mazembe ulilkuwa na item hiyo.
African Lyon wangeweza kudai chochote kama timu iliyomlea lakini kuna vigezo vyake kwa kanuni za FIFA
Haya CEO kamaliza ubishi wenu.General Mangi uko sahihi, Genk watalipa 10% kwa Tp Mazembe, Nao Tp Mazembe watatoa 10% ya kiasi walichopewa na Genk. Kwa hiyo hapo ni sawa na asilimia 1% , ambayo ni milioni 23( hapo bado kodi haijakatwa) hivyo ndio hesabu inavyokwenda kama hicho kipengele cha 10% kipo.
Ubishi ni jadi yao.
Mmepata kiasi gani watu makini chini ya mshauri mkuu Bashite?kWA kLABU MAKINI KAMA SIMBA HILO NI LAZIMA!
hilo lingekuwa swali kwa klabu kama yanga!
Simba atamdai nani hapo kwa kipengele feki cha mkataba kati ya mazembe na simba? Inawezekana mazembe walikubaliana na hiko kipengele lakini sina uhakika na Genk na Aston Villa? na sina uhakika kama Genk na Aston villa wamewahi kuuona mkataba wa kati ya Simba na TPMzee usibishe vitu usivyovijua wakati samata anauzwa Genk hao Genk walipewa taarifa kuwa kunakipengele hicho, kwa taarifa yako mazembe ndio hawana mgao hapo