Simba wana mgao kwa Samatta kwenda Aston Villa?

Kwenye kipindi cha KIPENGA EXTRA usiku huu Rage amepigiwa simu kuhusu kipengele cha Simba kupata % .
Amesema ni kweli kipindi wanamuuza kwenda TP MAZEMBE walisaini kipengele hicho.
Yaani kila Samatta anapohama timu Simba wanapata 20% yao... Ila akasema hajui kama UONGOZI mpya ulisimamia vzr kipengele hicho au walifanya ujanjaujanja.
 
Utakuwa ulifeli hesabu wewe bila shaka.
 
Kurukaruka koote huko kumbe mweupe kwa hesabu? Ngoja nikusaidie iwapo asilimia ulizotoa ni sahihi.

Kama Genk wakilipwa bilioni 30, inamaana 10% watakayowalipa Mazembe ni bilion 3. Na kama Mazembe watalazimika kuilipa Simba asilimia 10% ya walichokipata kama ulivyodai, basi itakuwa million 300. Siku nyingine utulie, uache kukurupuka.
 
Kwa mkataba upi? Simba issue yake iliishia kwa TP Mazembe
Kweli bhana, siona namna Simba itakavyoweza kupeleka madai Genk au Aston Villa kwakuwa Simba haina mkataba na Genk. Labda kama Simba ingekuwa na mkataba na mchezaji mwenyewe. Tuache kudanganyana hapa.

Kwahiyo Aston Villa ikimuuza Man U Simba inapata mgao, na Man U wakimuuza Real Madrid Simba wamo tena! !! Kufikilia hivyo ni uvivu wa kufikiri
 
Wewe ndio hutaki kuelewa hicho kipengele kilielezewa toka mbwana anaenda mazembe kuwa mara zote atakazouzwa simba wana mgao, nikwambie tu mimi sio simba fan
Ha ha ha unachekesha. Walikubaliana na Mazembe popote watapomuuza watakatiwa sehemu ya dau hilo siyo kila atapokuwa anauzwa
 
inategemea na mkataba walioingia ingawa Rage anadai waliweka hicho kipengele ila cha kusikitisha nikauli yaTry again anadai Samatta alipohamia Genk walipaswa kulipwa euro laki moja lakini mazembe waliwafanyia uhuni wakawalipa $50000 huu ni uzembe wamakusudi
 
Haya CEO kamaliza ubishi wenu.

 
Mzee usibishe vitu usivyovijua wakati samata anauzwa Genk hao Genk walipewa taarifa kuwa kunakipengele hicho, kwa taarifa yako mazembe ndio hawana mgao hapo
Simba atamdai nani hapo kwa kipengele feki cha mkataba kati ya mazembe na simba? Inawezekana mazembe walikubaliana na hiko kipengele lakini sina uhakika na Genk na Aston Villa? na sina uhakika kama Genk na Aston villa wamewahi kuuona mkataba wa kati ya Simba na TP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…