bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Yes pasipo na shaka hii Simba na watu wake kwa sasa wanaifahamu sana Yanga kuliko Yanga yenyewe inavyojifahamu.
Simba wapenzi wanakuja na maswali yao mazuri tu na kuanza kuyajibu tena wao wenyewe.
Pitso Mosimane anakuja Yanga then baada ya muda mfupi Pitso kasaini Uarabuni.
Ibenge anakuja Yanga baada ya muda watakuja na majibu Yanga hawana pesa ya kumlipa ibenge so ameamua kubaki Al hilal.
Kaizer Chiefs wanamtaka Mayele then Mayele sio aina ya washambuliaji wanaotakiwa na Kaizer Chiefs, Mayele ni Mchoyo wa Pasi Mayele haina mbio mengi mengi tu.
Yanga inaenda kufa baadaye Yanga kabeba ubingwa kwa kutembeza bahasha za Khaki.
Hakika maswali na majibu ni mengi hapa mjini.
Simba wapenzi wanakuja na maswali yao mazuri tu na kuanza kuyajibu tena wao wenyewe.
Pitso Mosimane anakuja Yanga then baada ya muda mfupi Pitso kasaini Uarabuni.
Ibenge anakuja Yanga baada ya muda watakuja na majibu Yanga hawana pesa ya kumlipa ibenge so ameamua kubaki Al hilal.
Kaizer Chiefs wanamtaka Mayele then Mayele sio aina ya washambuliaji wanaotakiwa na Kaizer Chiefs, Mayele ni Mchoyo wa Pasi Mayele haina mbio mengi mengi tu.
Yanga inaenda kufa baadaye Yanga kabeba ubingwa kwa kutembeza bahasha za Khaki.
Hakika maswali na majibu ni mengi hapa mjini.