Ooh sawaTabora to mwanza karibu mno wanaweza panda gari ila ndenge kuna campuny zinaenda tabora
Tabora kuna ndege kabla hujazaliwaWajuvi naomba mnijuze maana wote tunajua hizi timu kubwa huwa wanakula mwewe kwenye kila safari
Je, simba kutoka Kigoma kwenda Tabora walitumia usafiri gani?
Na kutoka Tabora kwenda Mwanza itatumia usafiri gani?
Maana sina hakika kama ndege za Tanzania airways zinafika Tabora.
ATCL wanatua Tabora ever since.Wajuvi naomba mnijuze maana wote tunajua hizi timu kubwa huwa wanakula mwewe kwenye kila safari
Je, simba kutoka Kigoma kwenda Tabora walitumia usafiri gani?
Na kutoka Tabora kwenda Mwanza itatumia usafiri gani?
Maana sina hakika kama ndege za Tanzania airways zinafika Tabora.
Mara nyingi ndege ikitoka kigoma inatua tabora then darWajuvi naomba mnijuze maana wote tunajua hizi timu kubwa huwa wanakula mwewe kwenye kila safari
Je, simba kutoka Kigoma kwenda Tabora walitumia usafiri gani?
Na kutoka Tabora kwenda Mwanza itatumia usafiri gani?
Maana sina hakika kama ndege za Tanzania airways zinafika Tabora.
Unauliza wanapita wapi unataka uwategee miba?Wajuvi naomba mnijuze maana wote tunajua hizi timu kubwa huwa wanakula mwewe kwenye kila safari
Je, simba kutoka Kigoma kwenda Tabora walitumia usafiri gani?
Na kutoka Tabora kwenda Mwanza itatumia usafiri gani?
Maana sina hakika kama ndege za Tanzania airways zinafika Tabora.
Miaka ya nyuma kabla ya Uhuru, Tabora ndio ilikuwa Terminal ya ndege za Kimataifa. Ndega ilikuwa inatokea South Africa inatua Tabora inaelekea uingereza. Nashangaa Sasa hivi ubabaishajiWajuvi naomba mnijuze maana wote tunajua hizi timu kubwa huwa wanakula mwewe kwenye kila safari
Je, simba kutoka Kigoma kwenda Tabora walitumia usafiri gani?
Na kutoka Tabora kwenda Mwanza itatumia usafiri gani?
Maana sina hakika kama ndege za Tanzania airways zinafika Tabora.
Hapa wanatumia bajaji ,kwa kuwa hawana hela ya mwewe,wanajipanga kufanya usajili bora kwani hofu ni kuwa Nbc wameshapoteza,na champions league matumaini yamefifia mno,hivyo ipende tu timuyako karibuni wanageuka watembeza bakuli fc😄Wajuvi naomba mnijuze maana wote tunajua hizi timu kubwa huwa wanakula mwewe kwenye kila safari
Je, simba kutoka Kigoma kwenda Tabora walitumia usafiri gani?
Na kutoka Tabora kwenda Mwanza itatumia usafiri gani?
Maana sina hakika kama ndege za Tanzania airways zinafika Tabora.
Mimi nimepata😁Huwa mnakosa vya kuandika
Hapana.Mueleweshe.Si wote ni wafuatiliaji na wanaijua miundombinu ilivyo.Si mwana "jogorafia"!Huwa mnakosa vya kuandika
Kirefu chake ni MlandegeNdege
KabisaHuwa mnakosa vya kuandika
Jibu swaliHuwa mnakosa vya kuandika
hii mpya, sijawahi kusikia.....Miaka ya nyuma kabla ya Uhuru, Tabora ndio ilikuwa Terminal ya ndege za Kimataifa. Ndega ilikuwa inatokea South Africa inatua Tabora inaelekea uingereza. Nashangaa Sasa hivi ubabaishaji
The former dirt strip of the Tabora Airport was improved and lengthened in 1942 during World War II. The South African Air Force supervised the work and built the hangar and the control tower. The airport was needed as a relay station for airborne supplies and troops destined for the North African desert campaign.hii mpya, sijawahi kusikia.....
unaweza tia nyama mkuu? kulikua na nini special huko tabora?