Simba wanaungua ugonjwa wa lose of insight, hawaponí

Simba wanaungua ugonjwa wa lose of insight, hawaponí

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Lose of insight ni ugonjwa ambao mgonjwa hajui kama anaumwa na hajui kama anaumwa nini, hivyo hatafuti matibabu bila watu wengine kumsaidia.

Simba hawaamini kama Yanga ni Bora pamoja na kucheza finali ya CAF confederation, kucheza robo finali CAF champions, kutoka sare na Mamelods, kucheza na timu ya ujerumani , kubeba kombe la Toyota na kuzifunga timu za ndani na nje magoli mengi.

Magori anamlaumu Camara, Fadlu analaumu ukosefu wa VAR, wazee wazee wa simba wanalaumu Kayoko, GSM, mawaziri, Mwwigulu, serikali, Ally Kamwe na viongozi wao kununuliwa na GSM. Kipigo cha 4 kutoka Yanga mfululizo, wamepoteza 5 pts, Wamevurugikiwa, hawajui shida yao iko wapi.

Simba hawaamini kuwa Yanga ina kocha mzuri na wachezaji wazuri kuliko Simba, Na hawataki kuwalaumu wachezaji wao kukosa magoli ya wazi.

Simba mpaka Leo wanaamini kwenye uchawi uwanjani kuliko sayansi.
 
Lose of insight ni ugonjwa ambao mgonjwa hajui kama anaumwa nini na hajui kama anaumwa, hivyo hatafuti matibabu bila watu wengine kumsaidia.

Simba hawaamini kama Yanga ni Bora pamoja na kucheza finali ya CAF confederation, kucheza robo finali CAF champions, kutoka sare na Mamelods, kucheza na timu ya ujerumani , kubeba kombe la Toyota na kuzifunga timu magoli mengi kwenye ligi..

Simba hawaamini kuwa Yanga ina kocha mzuri na wachezaji wazuri kuliko Simba.

Simba mpaka Leo wanaamini kwenye uchawi uwanjani kuliko sayansi.s,
Waache hivyo hivyo usiwaamshe.
 
Wazee wa Simba wamechanganyikiwa mno mno mno. Hawasemi namna Simba ilivyopangiwa timu mbili harakaharaka ambazo hazijakamilisha usajali wa wachezaji wake muhimu, hawasemi namna marefa walipowapa faida kwenye mechi dhidi ya Dodoma jiji na Azam fc.

Wazee hawa wanaona mdhamini wao mo sio kitu wala lolote kwa GSM. Wazee hawa ni baada ya uchawi kupitwa na wakati viwanjani, hauleti matokeo chanya.

Wazee wajinga hawalaumu Ateba kukosa kufunga goli la wazi na camara kudaka vibaya mpira uliozaa goli.

Waamuzi lazima walindwe, hakuna mwaamuzi duniani kote ambao hawakosei hata mbela ya VAR. VAR zipo kwasababu waamuzi ni binadamu. Kama Simba hawatarudi kwenye misingi ya mpira timu yao itarudi nyuma sana.
 
Mbona mnalazimisha sana ukubwaa?? Hebu tulieni bana msitupangie
 
Mbona mnalazimisha sana ukubwaa?? Hebu tulieni bana msitupangie
Mkitaka tutulie na nyinyi mtulie kutaja watu kwa kushindwa kwenu, mara Kayoko, mara GSM, mara Ally Kamwe, mara mawaziri, mara serikali. Komeni
 
Back
Top Bottom