Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kwa uchambuzi wangu mdogo ...nmefuatilia uchezaji wa mechi za ndugu zangu ... makolo walipo kutana na ndugu zao ( wadhaifu) vipers, horoya, big bullets
Na kucheza chini ya kiwango .....pia Baada ya kucompare na mechi za Yanga zote kuanzia robo fainal ....nmesikitika sana na kulia kabisa .....taifa lingeaibika sana
Kwa mechi ya juzi .....simba wangekuwa si chini ya goli 6 on first half
Na kucheza chini ya kiwango .....pia Baada ya kucompare na mechi za Yanga zote kuanzia robo fainal ....nmesikitika sana na kulia kabisa .....taifa lingeaibika sana
Kwa mechi ya juzi .....simba wangekuwa si chini ya goli 6 on first half