Kabisa mkuu......Simba bado ni timu mbovu sanaHivi Hersi ni wakumfanyia udanganyifu Feisali kumsainisha kandarasi ya miaka 3 badala ya miaka 2?
Ebu jatibu ku imagine uhuni alioufanya yule jamaa
Uko sahihi Mkuu.....Simba tujifunze Kwa wakubwa yanga
Nyiee kombe mnaloo? Hata la losers enyewee??Lkn mbona mliishia kubeba kombe la robo fainali [emoji23]
Uko sahihi Mkuu..... haiwezekan Kila siku Simba tunaishia Robo fainali [emoji23]
Wachezaji wetu ni wajinga sana yana, Feisal hana representative yoyote, unaenda kusign mkataba umeandika kwa lugha usiyoijua unaenda bila hata mwakilishi wako aangalie vipengele,yaani ni sawa na wewe upewe mkataba wa kichina u sign tu pale chini, kweli kitu sensitive kama hicho kinachoamua maisha yake alitia sign bila kuelewa! Feisal hajui tofauti ya two na three?????? Kweli jaman?Hivi Hersi ni wakumfanyia udanganyifu Feisali kumsainisha kandarasi ya miaka 3 badala ya miaka 2?
Ebu jatibu ku imagine uhuni alioufanya yule jamaa
CrapKwa uchambuzi wangu mdogo ...nmefuatilia uchezaji wa mechi za ndugu zangu ... makolo walipo kutana na ndugu zao ( wadhaifu) vipers, horoya, big bullets
Na kucheza chini ya kiwango .....pia Baada ya kucompare na mechi za Yanga zote kuanzia robo fainal ....nmesikitika sana na kulia kabisa .....taifa lingeaibika sana
Kwa mechi ya juzi .....simba wangekuwa si chini ya goli 6 on first half View attachment 2642399
Bongo kila mtu mchambuziKwa uchambuzi wangu mdogo ...nmefuatilia uchezaji wa mechi za ndugu zangu ... makolo walipo kutana na ndugu zao ( wadhaifu) vipers, horoya, big bullets
Na kucheza chini ya kiwango .....pia Baada ya kucompare na mechi za Yanga zote kuanzia robo fainal ....nmesikitika sana na kulia kabisa .....taifa lingeaibika sana
Kwa mechi ya juzi .....simba wangekuwa si chini ya goli 6 on first half View attachment 2642399
Hujakosea mkuu.....Simba tunatakiwa kumtimua mwamedi ......haiwezekan atuletee kina sawa kubwaHaiwezekani fei toto atake kusain mkataba wa miaka miwili nyinyi kwa tamaa zenu mumuongezee mwaka mmoja iwe miaka mitatu
Hakuna atayekubali huo ujinga tena katika nchi hii fei ni kijana mdogo sana na tutamsapoti mpaka apate haki zake