Huu utaratibu wa kuanza kuwatamani wachezaji wa timu nyingine mmeuanza lini? Mbona timu yenu ina lundo la wachezaji wanaocheza namba moja na huyo Ayoub Lyanga!!!
Onana, Kibu Dennis, Kramo, Luis Miqsoune, Ntibazonkiza, Chama, na wengineo wengi tu!! Wote hawa hawafai?