Simba waongo kwa Shabalala?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Shabalala amesikika akisema hataki tena kuichezea timu yoyote ya Tanzania bara kwa sasa huku Haji Manara akijinasibu tayari wamemsainisha mkataba mpya mchezaji huyo, ukweli ni upi?
 
Shabalala amesikika akisema hataki tena kuichezea timu yoyote ya Tanzania bara kwa sasa huku Haji Manara akijinasibu tayari wamemsainisha mkataba mpya mchezaji huyo, ukweli ni upi?
Alishindwa kumkaba winga wa Zibwabwe, sasa sijui anataka kwenda wapi!! Labda Somalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…