SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kawaida machoko wanapenda sana kujibebishaHuu ndiyo utoto sasa,kushindwa kujibu hoja za mleta mada na kuja na general sentence utadhani mtoto wa Baby Class.
Mkuu usipate tabu huyo mbwiga anaitwa 'mjinga mimi'View attachment 2036703
Kuwasaidia tu ndio kitu gani.
Kama kusoma hujui hata hii picha huioni?Kaka yanga inahusika vipi na GSM?
hizo NI taasisi mbili TOFAUTI.EBU ELIMIKENI
Hao viongozi wa yanga wanajipendekeza tu.Kama kusoma hujui hata hii picha huioni?
Basi wewe siyo mjigamimi bali ni mpumbavumimi.View attachment 2036708View attachment 2036709
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kweli wewe ni jingaKaka yanga inahusika vipi na GSM?
hizo NI taasisi mbili TOFAUTI.EBU ELIMIKENI
Rudi shule kwanza ukajifunze kuandika vizuri.Yanga Ana hisa asilimia ngapi pale GSM?.
ebu acha ushabiki maandazi.
Vipi Kama GSM angekiwa kiongozi wa TFF mngesemaje?
Nembo ya GSM na nembo ya yanga
VINAHUUSIANO GANI?
mbona NYIE hamna AKILI hivi?
Swali la kitoto sana hili. Wengi hapa wayokuona mjinga mkuu.Kwani Vunjabei anajihusisha na chochote pale Simba?
Kama Mimi natakiwa nirudi shule kujifunza kuandika vizuri.Rudi shule kwanza ukajifunze kuandika vizuri.
Akijibu niiteSportpesa ni supplier wa jezi gani?
Wewe ndo unaonekana mjinga.Kweli wewe ni jinga
Swali la kitoto wakati hamtoi majibu??Swali la kitoto sana hili. Wengi hapa wayokuona mjinga mkuu.
Huu ndiyo utoto sasa,kushindwa kujibu hoja za mleta mada na kuja na general sentence utadhani mtoto wa Baby Class.
Nasema hivi sisi Simba hatutavaa jezi yenye nembo ya jesemu.
huyo mbwiga jesemu kama amekosa sehemu ya kuweka nembo akaweke hata kwenye mwiko uliopo nyuma ya wanautopolo.
asituletetee UKABWI hapa.
Heee! Serious..!?Shida hapo ni Biashara ya Mwekezaji pia utajuaje GSM anania nzuri.Kesho akigeuka kuwa timu ya Simba imeweka nembo yake anataka fidia.
Unataka nikujbu nin ikiwa mausiano yao nishakuwekea apo ,ukisikia japan imeshirikiana na tanzania kujenga barabaran ya kilometer fulan kwan apo inakua sio nchi mbil au ili mushirikiane ndio lazima muwe taasisi mojaKaka yanga inahusika vipi na GSM?
hizo NI taasisi mbili TOFAUTI.EBU ELIMIKENI
Simba wasishiriki full stopUongozi wa Gsm kushirikiana na ZFA wapo katika mazungumzo yakudhamini Kombe la mapinduzi visiwani Zanzibar mwakani.
Ikumbukwe Gsm msimu huu tayari wameshaidhamini ligi kuu visiwani humo.
Habari njema kutoka ZFA Tayari wameshatoa mwaliko kwa timu nne kutoka Tanzania bara ambao ni
-Yanga sc:Bingwa mtetezi 2021.
-Azam fc
-Simba sc
_Namungo fc
NB
Itakuwa je sasa kwenu studio?
Na GSM wanataka jezi zitakazotumika kwenye mapinduzi Cup ziwe na nembo ya mdhamini wa mashindano hayo kwenye upande wa kulia wa jezi hizo
Aya sawaSimba wasishiriki full stop
Na hapa utaambiwa wewe huna akiliUongozi wa Gsm kushirikiana na ZFA wapo katika mazungumzo yakudhamini Kombe la mapinduzi visiwani Zanzibar mwakani.
Ikumbukwe Gsm msimu huu tayari wameshaidhamini ligi kuu visiwani humo.
Habari njema kutoka ZFA Tayari wameshatoa mwaliko kwa timu nne kutoka Tanzania bara ambao ni
-Yanga sc:Bingwa mtetezi 2021.
-Azam fc
-Simba sc
_Namungo fc
NB
Itakuwa je sasa kwenu studio?
Na GSM wanataka jezi zitakazotumika kwenye mapinduzi Cup ziwe na nembo ya mdhamini wa mashindano hayo kwenye upande wa kulia wa jezi hizo