Simba wapongezwe kombe la muungano ni kubwa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Uchambuzi wangu

Kombe la muungano ni kombe la bonanza linalohusisha timu mabingwa wa TZ bara na visiwani ( Zanzibar) so kitendo Cha mnyama kuchukua ubingwa huu Ina maanisha Simba ndiye mwamba wa timu zote za TZ bara na Zanzibar ukimtoa Yanga

Kwanini Simba ni baba lao Tz ukiitoa Yanga
Kama wewe ni mdau wa football utaelewa tu kuwa makolo tusingeweza kuchukua ubingwa kama Yanga wangeshiriki ..... ambapo inanipa picha kuwa maybe mud aliwaomba Yanga wasishiriki[emoji23]

Nb: Kwa huu ubingwa wa muungano cup ....Simba ni timu giant hapa TZ ukiitoa Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…