Simba washabiki tulijua sasa Mo yuko siliasi. Tukaanza Kuwataja Akina Feitoto, Mayele na Aziz ki na Pakome. Kumbe anatoa vyuma vyote.

Simba washabiki tulijua sasa Mo yuko siliasi. Tukaanza Kuwataja Akina Feitoto, Mayele na Aziz ki na Pakome. Kumbe anatoa vyuma vyote.

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kama kuna Mtu wa kupewa pongezi kwa kukua Soka la bongo basi namba moja ni Mohammed Dewji Mo.

Alijitaidi kuisuka simba vizuri na kuitambulisha soka letu kimataifa

Baada ya mo Wafate akima Azam media na wengine

Ila anavyoishiwa nguvu ya pesa kuifanya timu kubwa Akubali ukweli. ahusishe matajiri na wanachama kuijenga timu kwa ubia
sasa anachofanya mh. Mpango wa Mo ni kuwafukuza vyuma vyote ili Aanze upya na Wachezaji cheepest.

Tumewahukumu Akina Chama, Inonga, Kapombe na Manula bure.
Hawakuweza kujitetea uwenda mikataba inawafunga. Wamekaa kimya japo wameoshwa matope. Ila Muda utaongea.

Wakamfanyia kampeni kiungo pia Kanute kuwa hataki kubaki, Wakamfukuza kimya kimya na Onana, Jobe na Sarry wote hao sio viwango au nini inshu ni Pesa.

Walitaka kumvunjia mkataba pia Kipa Ayoub, Freddy na ama washushe mshahara mara 2 au zaidi.

Wakachukua wachezaji wa bei chee, wasio na majina kwa kivuli cha vijana. Kama walivyowaacha Banda na Sacko.

Kama kama kuna mwanasimba anazani timu iko kiushindani anajidanganya.

Mpango wa Mo mwakani kimataifa ni kutoka hatua za awali kabisa.
 
Kama kuna Mtu wa kupewa pongezi kwa kukua Soka la bongo basi namba moja ni Mohammed Dewji Mo.

Alijitaidi kuisuka simba vizuri na kuitambulisha soka letu kimataifa

Baada ya mo Wafate akima Azam media na wengine

Ila anavyoishiwa nguvu ya pesa kuifanya timu kubwa Akubali ukweli. ahusishe matajiri na wanachama kuijenga timu kwa ubia
sasa anachofanya mh. Mpango wa Mo ni kuwafukuza vyuma vyote ili Aanze upya na Wachezaji cheepest.

Tumewahukumu Akina Chama, Inonga, Kapombe na Manula bure.
Hawakuweza kujitetea uwenda mikataba inawafunga. Wamekaa kimya japo wameoshwa matope. Ila Muda utaongea.

Wakamfanyia kampeni kiungo pia Kanute kuwa hataki kubaki, Wakamfukuza kimya kimya na Onana, Jobe na Sarry wote hao sio viwango au nini inshu ni Pesa.

Walitaka kumvunjia mkataba pia Kipa Ayoub, Freddy na ama washushe mshahara mara 2 au zaidi.

Wakachukua wachezaji wa bei chee, wasio na majina kwa kivuli cha vijana. Kama walivyowaacha Banda na Sacko.

Kama kama kuna mwanasimba anazani timu iko kiushindani anajidanganya.

Mpango wa Mo mwakani kimataifa ni kutoka hatua za awali kabisa.
Sikupingi ila pamoja na hao anaowaleta nilitegemea amuachie mgunda aisuke timu kwanza then waje hao wanje iwe km phase 2,nina uhakika km Benchika angekuja kipindi simba ipo ya moto km miaka 4 iliopita enzi za akina Kagere angefanya makubwa sn but timing wa wrong,hata huyu ni 50/50 kwakua hajui mazingira ya soka letu
 
Ngoja simba atolewe robo ndio unaanza sikia hizo story
Anazingua kama unapata hasara achana na hyo biashara.simba Ina mashabiki wanaoumia kwa akili ya timu unapomwambia shabiki kuwa timu yake imekupa hasara alafu bado upo anashindwa kukuelewa.hatukatai hasara ipo
 
Anazingua kama unapata hasara achana na hyo biashara.simba Ina mashabiki wanaoumia kwa akili ya timu unapomwambia shabiki kuwa timu yake imekupa hasara alafu bado upo anashindwa kukuelewa.hatukatai hasara ipo
Bwana anapata hasara wapi...uwongo tuu. Yaani wewe mshindani wako mkubwa kwenye biashara ya energy drinks anakutanga kila simba ikiingia uwanjani, upewe nini tena hapa duniani.
Haya kila leo azam wanalia hawana fan base. Wewe simba fan base yako ni tanzania nzima. Mileage kwenye biashara zako unapata hasara hiyo iko wapi?
 
Back
Top Bottom