Simba watabadiri swaga,hasira zetu tunahamishia kwenye ligi.

kambale mnene

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
271
Reaction score
197
Mashabiaki wa simba ni watu wasioeleweka,.
Kishindwa kwenye ligi yetu,utawasikia akili zetu zipo kimataifa zaidi.

Kuanzia kesho utawasikia hasira zetu tutazimalizia kwenye ligi ya NBC.

NASAHA ZANGU.
Simba kubalini kuwa kikosi chetu Hapo kinapoishia ndiyo kiwango chao kilipofiki.
Kufanya hivo kunawafanya mfanye matengenezo makubwa ya kikosi chenu.

Jifunzeni kwa yanga,walikubali kwa miaka minne kuwa ni wabovu,leo tu naona matunda ya kukubali kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…