Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Ni jambo ambalo lipo wazi ,tumeona majibu kombe la mapinduzi kelele kibao ila ni timu ya kawaida pamoja na kuwapamba wachezaji wao, muda unavyoenda Simba inaimarika na Yanga inadhoofika.
Kwanza Simba watachukua points 3 kwa Yanga halafu yanga watadraw mechi zisizopungua 4.
Kama marefa hawatawabeba Simba watachukua ubingwa kwa points za kutosha tu.
Kwanza Simba watachukua points 3 kwa Yanga halafu yanga watadraw mechi zisizopungua 4.
Kama marefa hawatawabeba Simba watachukua ubingwa kwa points za kutosha tu.