Simba wawe makini sana dhidi ya KMC

Simba wawe makini sana dhidi ya KMC

Thabit Madai

Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
54
Reaction score
140
-Simba vs Kmc
Moja kati ya Timu iliyochangia Simba kukosa ubingwa misimu ya hivi karibuni ni Kmc...Simba amekuwa akipata changamoto sana anapokutana na Kmc hasa mzunguko wa kwanza.

Msimu uliopita Simba ililazimika kutoka nyuma na kusawazisha dakika za jioni baada ya kuruhusu mabao mawili kwa makosa binafsi ya aliyekuwa beki wao Israel Patrick Mwenda.

Siku zimekimbia...wachezaji wamebadilika na mchezo wa leo ni mpya...ila Mchezo wa Football ni mchezo wa saikolojia zaidi.

Kama Kmc watawaheshimu Simba kwa kufanya vitu sahihi kwa wakati sahihi wataondoka na alama leo...

Kwanini...?

Simba ataingia kama favorite. KMC ataingia kama second team, siku zote second team huwa inajiandaa kuzuia zaidi kuliko kushambulia.

Kmc wakiingia kama second team watapunguza umbali wa mstari na mstari, watafunga space kwenye zone zote,watapunguza umbali kati mchezaji na mchezaji na kutengeneza overloads kwenye eneo lao ili kupunguza uwezekano wa kuvuka line moja na nyingine.

Kisha watashambulia kwa mipira mirefu kitu ambacho kinaweza kuwaathiri Simba hasa wakiruhusu 1v1 .

Kinachoziumiza second teams wakikutana na timu kubwa huwa ni usahihi wa matendo kwa kipindi fulani Kisha wakihisi wamefanikiwa huwa wanajisahau...sehemu ya kupiga pas wao wana dribble, sehemu ya ku dribble wanapiga pasi...hatimaye wanafungwa.

Kama Kmc watawadharau Simba na kuona wapo daraja moja...naziona goli nyingi sana!

✍️Sospeter Ilagila
 
-Simba vs Kmc
Moja kati ya Timu iliyochangia Simba kukosa ubingwa misimu ya hivi karibuni ni Kmc...Simba amekuwa akipata changamoto sana anapokutana na Kmc hasa mzunguko wa kwanza.

Msimu uliopita Simba ililazimika kutoka nyuma na kusawazisha dakika za jioni baada ya kuruhusu mabao mawili kwa makosa binafsi ya aliyekuwa beki wao Israel Patrick Mwenda.

Siku zimekimbia...wachezaji wamebadilika na mchezo wa leo ni mpya...ila Mchezo wa Football ni mchezo wa saikolojia zaidi.

Kama Kmc watawaheshimu Simba kwa kufanya vitu sahihi kwa wakati sahihi wataondoka na alama leo...

Kwanini...?

Simba ataingia kama favorite...Kmc ataingia kama second team, siku zote second team huwa inajiandaa kuzuia zaidi kuliko kushambulia.

Kmc wakiingia kama second team watapunguza umbali wa mstari na mstari, watafunga space kwenye zone zote,watapunguza umbali kati mchezaji na mchezaji na kutengeneza overloads kwenye eneo lao ili kupunguza uwezekano wa kuvuka line moja na nyingine.

Kisha watashambulia kwa mipira mirefu kitu ambacho kinaweza kuwaathiri Simba hasa wakiruhusu 1v1 .

Kinachoziumiza second teams wakikutana na timu kubwa huwa ni usahihi wa matendo kwa kipindi fulani Kisha wakihisi wamefanikiwa huwa wanajisahau...sehemu ya kupiga pas wao wana dribble, sehemu ya ku dribble wanapiga pasi...hatimaye wanafungwa.

Kama Kmc watawadharau Simba na kuona wapo daraja moja...naziona goli nyingi sana!

✍️Sospeter Ilagila
Ndivyo ambavyo timu zenye madaraja ya kati zilivyo, wakiona dk zimesogea na Bado hawajafungwa Goli na timu kubwa akiri u relax na kuhisi tayari tumesha pata point.

Husahau kuwa wanacheza na wapinzani walio katika Daraja lingine katika soka.
Ndio maana Simba amekua aki adhibiwa na Yanga kwa muda mrefu kwakua Bado Wana amini wapo Daraja Moja la ubora na Yanga na mwisho wa mchezo Yana Anza malalamiko.
Ku mkumbatia Tyson katika Masumbwi haikufanyi upate sare Kuna muda itaingia ngumi Moja tu ya kutenganisha Daraja la wanao pambana.

Wenzao Azam wakikaa wiki nzima wakifanya home work ya Gamond aliyekua akicheza mech mfululizo na Bado Gamond akiwa na watu Pungufu alitoa mechi ya Daraja la champion league Mungu saidi Azam kwa nidhamu Yao ya Mbwa Koko waka bahatika kupata point tatu.

Kucheza kama Mbwa Koko na timu kubwa Kuna muda kunalipa.
 
Huwa unavutia kuhongwa mpaka pale unapoandika upuuzi kama huu ndo unatukumbusha kuwa kumbe unaweza kuwa mwanaume.

Shabiki wa Simba kwenye uboo~ra wako!!

Hamia Yanga shoga angu. Acha kuteseka
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Ndivyo ambavyo timu zenye madaraja ya kati zilivyo, wakiona dk zimesogea na Bado hawajafungwa Goli na timu kubwa akiri u relax na kuhisi tayari tumesha pata point.

Husahau kuwa wanacheza na wapinzani walio katika Daraja lingine katika soka.
Ndio maana Simba amekua aki adhibiwa na Yanga kwa muda mrefu kwakua Bado Wana amini wapo Daraja Moja la ubora na Yanga na mwisho wa mchezo Yana Anza malalamiko.
Ku mkumbatia Tyson katika Masumbwi haikufanyi upate sare Kuna muda itaingia ngumi Moja tu ya kutenganisha Daraja la wanao pambana.

Wenzao Azam wakikaa wiki nzima wakifanya home work ya Gamond aliyekua akicheza mech mfululizo na Bado Gamond akiwa na watu Pungufu alitoa mechi ya Daraja la champion league Mungu saidi Azam kwa nidhamu Yao ya Mbwa Koko waka bahatika kupata point tatu.

Kucheza kama Mbwa Koko na timu kubwa Kuna muda kunalipa.
Bandiko refu umeongea upupu wa kizee...
Ndo maana mmechabangwa na walamba koni...
 
Ndivyo ambavyo timu zenye madaraja ya kati zilivyo, wakiona dk zimesogea na Bado hawajafungwa Goli na timu kubwa akiri u relax na kuhisi tayari tumesha pata point.

Husahau kuwa wanacheza na wapinzani walio katika Daraja lingine katika soka.
Ndio maana Simba amekua aki adhibiwa na Yanga kwa muda mrefu kwakua Bado Wana amini wapo Daraja Moja la ubora na Yanga na mwisho wa mchezo Yana Anza malalamiko.
Ku mkumbatia Tyson katika Masumbwi haikufanyi upate sare Kuna muda itaingia ngumi Moja tu ya kutenganisha Daraja la wanao pambana.

Wenzao Azam wakikaa wiki nzima wakifanya home work ya Gamond aliyekua akicheza mech mfululizo na Bado Gamond akiwa na watu Pungufu alitoa mechi ya Daraja la champion league Mungu saidi Azam kwa nidhamu Yao ya Mbwa Koko waka bahatika kupata point tatu.

Kucheza kama Mbwa Koko na timu kubwa Kuna muda kunalipa.
.... Wenzao Azam wakikaa wiki nzima wakifanya home work ya Gamond aliyekua akicheza mech mfululizo na Bado Gamond alichapwa kimoja na kuangusha points zote tatu huku Yanga wakuwa wenyeji wa mchezo huo
 
-Simba vs Kmc
Moja kati ya Timu iliyochangia Simba kukosa ubingwa misimu ya hivi karibuni ni Kmc...Simba amekuwa akipata changamoto sana anapokutana na Kmc hasa mzunguko wa kwanza.

Msimu uliopita Simba ililazimika kutoka nyuma na kusawazisha dakika za jioni baada ya kuruhusu mabao mawili kwa makosa binafsi ya aliyekuwa beki wao Israel Patrick Mwenda.

Siku zimekimbia...wachezaji wamebadilika na mchezo wa leo ni mpya...ila Mchezo wa Football ni mchezo wa saikolojia zaidi.

Kama Kmc watawaheshimu Simba kwa kufanya vitu sahihi kwa wakati sahihi wataondoka na alama leo...

Kwanini...?

Simba ataingia kama favorite. KMC ataingia kama second team, siku zote second team huwa inajiandaa kuzuia zaidi kuliko kushambulia.

Kmc wakiingia kama second team watapunguza umbali wa mstari na mstari, watafunga space kwenye zone zote,watapunguza umbali kati mchezaji na mchezaji na kutengeneza overloads kwenye eneo lao ili kupunguza uwezekano wa kuvuka line moja na nyingine.

Kisha watashambulia kwa mipira mirefu kitu ambacho kinaweza kuwaathiri Simba hasa wakiruhusu 1v1 .

Kinachoziumiza second teams wakikutana na timu kubwa huwa ni usahihi wa matendo kwa kipindi fulani Kisha wakihisi wamefanikiwa huwa wanajisahau...sehemu ya kupiga pas wao wana dribble, sehemu ya ku dribble wanapiga pasi...hatimaye wanafungwa.

Kama Kmc watawadharau Simba na kuona wapo daraja moja...naziona goli nyingi sana!

✍️Sospeter Ilagila
Sawa nchambuziii
 
Back
Top Bottom