Simba Wazee Wa Kujiangusha Ku Force Penati

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Inaonyesha hawa wa msimbazi huwa wanafanya mazoezi hasa ya jinsi ya ku force penati na red card ali mradi tu watoke na ushindi....na hii tabia imeanza kujitokeza kwa kasi tangu walipowapoteza chama na yule mtoto wa kimakonde...

Hebu tujiulize timu hiyo hiyo tu katika michezo yote sita ndiyo inapata penati! Mbona si kwa timu zingine?...game ya Mwanza jana baada ya morrison kustukiwa kajidondosha mwanzo na kupata kadi ya njano wakaendelea kuitafua penati hadi wakaipata mkwaju ambao golikipa aliupangua...

Tff chunguzeni hawa mikia maana huenda hata game ijayo tena wakazawadiwa penati au kadi nyekundu.
 
Kuna wengine wanapima wanakutwa na UKIMWI, sio kwamb wana HIV, ni stress,depression, chuki binafsi ndio zinawasababishia Upungufu wa Kinga Mwilini(UKIMWI)
Kwa akili zao zilivyokuwa finyu walidhani eti jana Simba itafungwa,jamaa ni mizuzu kweli,inadanganywa na vi clip vya masaubwire vinavyorushwa kwenye medias vya kujitamba kwamba mnyama hatoki nao wanaamini
 
Kaaa kwa kutulia wenye nchi yao na makombe yao wamerudi. Chuki uzuzu umanyani mtakoma sahvi hatupigi pira biriani tunapiga pira spider yaan ni ku slide t. Sheenzi zenu
 
Ni mwendo uleule wa mwaka jana. Mnatangulia kuongoza ligi halafu wenye kombe lao tunarudi kuchukua.

Ngoja tuongoze ligi mvua ianze kunyesha.
 
Mshaanza kulalamika nyie si ndio mlikuwa mnasema mwaka huu wenu jiandaeni kisaikologia ndio tumerudi na mtanuna sana na pira kihispaniola kinachotufurahisisha pira ushindi na pira biriani hatimae is back lazima muumie kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…