Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
TAKWIMU MCHONGOWasalam nimeona kwenye website ya kuaminika klabu ya Simba Sc, ni ya tatu kwa utajiri Africa, ya kwanza Al Ahly, ya pili Zamalek.
Orodha ya klabu tajiri Africa.
1. Al Ahly
2. Zamalek.
3. Simba
4. Pyramids.
5 .Esperance.
6. Raja
7.Wydad
8. Tp Mazembe.
9. Mamelodi.
10. Kaizer Chief
Mimi ni mshabiki wa simba, ila hili silikubali hata kwa zawadi.Wasalam nimeona kwenye website ya kuaminika klabu ya Simba Sc, ni ya tatu kwa utajiri Africa, ya kwanza Al Ahly, ya pili Zamalek.
Orodha ya klabu tajiri Africa.
1. Al Ahly
2. Zamalek.
3. Simba
4. Pyramids.
5 .Esperance.
6. Raja
7.Wydad
8. Tp Mazembe.
9. Mamelodi.
10. Kaizer Chief
Bora umeona mbali. Zamani tukiwa watoto tulikuwa tunaamini Baba zetu Wana nguvu kuliko wote mtaani.Mimi ni mshabiki wa simba, ila hili silikubali hata kwa zawadi.
Chuki kwa Simba zitakuja kuwauweni.Uongo
Hata kwa ubora simba haipo top 20 Afrika
Kwani ungepinga bila kujitaja kuwa we ni mshabiki wa Simba kulikuwa na shida?Mimi ni mshabiki wa simba, ila hili silikubali hata kwa zawadi.
Nenda kacheki tena rank ya caf, Simba hayupo kumi bora yupo nafasi ya 13Chuki kwa Simba zitakuja kuwauweni.
Simba kwa ubora Africa inaweza kuwa kwenye top ten.
1. AlAhly
2. Wydad
3. Esperance
4.Mamelod Sundowns
5. TP Mazembe
6. Raja Casablanca
7. Atletico Petroles de Luanda
8. Simba Sports
9. Zamalek
10 Horoya Athletics
Kwani Mo sio sehemu ya ya umiliki wa klabu ya Simba?Team ni Tajiri au wanammiliki Tajiri? Hiv unajua maana ya neno Team Tajiri hiv Simba inauwezo wakujiendesha yenyewe kupitia mapato ya club bila pesa za mfukoni wa Mo dewji?
Timu hata uwanja hainaWasalam nimeona kwenye website ya kuaminika klabu ya Simba Sc, ni ya tatu kwa utajiri Africa, ya kwanza Al Ahly, ya pili Zamalek.
Orodha ya klabu tajiri Africa.
1. Al Ahly
2. Zamalek.
3. Simba
4. Pyramids.
5 .Esperance.
6. Raja
7.Wydad
8. Tp Mazembe.
9. Mamelodi.
10. Kaizer Chief
Uwanja ndiyo utajiri pekee? Au wewe ndiyo wale wanaosema Bakhresa ndiye tajiri no 1 Tz kisa anamiliki vitu vingi wanavyoviona kwa macho yao mfano Timu,boti kubwa za usafiri , Hotel nk ?Timu hata uwanja haina
Ah huo utajiri ni lile jengo la sandaland?
Fatilia mi shabiki wa Simba haswa ila nakataaChuki kwa Simba zitakuja kuwauweni.
Simba kwa ubora Africa inaweza kuwa kwenye top ten.
1. AlAhly
2. Wydad
3. Esperance
4.Mamelod Sundowns
5. TP Mazembe
6. Raja Casablanca
7. Atletico Petroles de Luanda
8. Simba Sports
9. Zamalek
10 Horoya Athletics
Nazungumzia mapato ya club wanachoingiza ni kikubwa kuliko wanachotumia? Kwa mujibu wa Mo Simba inajiendesha kihasara ndio maana kuna wakati anaisadia team nje ya makubaliano walioingia na simba kama anavyofanya GSM kwa Yanga sasa hapo huo utajiri wa Simba unatoka wapi?Kwani Mo sio sehemu ya ya umiliki wa klabu ya Simba?
MO Tik TokTAKWIMU MCHONGO
WEBSITE YA KUAMINIKA IPI?
😎
Wewe unakubali au unakataa?Kwani ungepinga bila kujitaja kuwa we ni mshabiki wa Simba kulikuwa na shida?