Simba haipo kwenye kumi bora kwa ubora kwa mujibu wa CAF five year ranking report..tutolee huu upuuzi wakoChuki kwa Simba zitakuja kuwauweni.
Simba kwa ubora Africa inaweza kuwa kwenye top ten.
1. AlAhly
2. Wydad
3. Esperance
4.Mamelod Sundowns
5. TP Mazembe
6. Raja Casablanca
7. Atletico Petroles de Luanda
8. Simba Sports
9. Zamalek
10 Horoya Athletics
Simba inamiliki asset gani tunayoweza kuinconsider kama timu tajiri au labda utuambie market value ya simba ni kiasi gani kwa sasa tukiingalia upande wa value in stock marketUwanja ndiyo utajiri pekee? Au wewe ndiyo wale wanaosema Bakhresa ndiye tajiri no 1 Tz kisa anamiliki vitu vingi wanavyoviona kwa macho yao mfano Timu,boti kubwa za usafiri , Hotel nk ?
Kumi na tano sio kumu na tatuNenda kacheki tena rank ya caf, Simba hayupo kumi bora yupo nafasi ya 13
1) Al Ahly point 73
2) Esperance point 58
3) Wydad point 56
4)Raja point 54
5)Mamelod point 46
6) Zamalek point 43
7) Berkane point 39
8) Tp Mazembe point 38
9) Pyramid point 34
10)Pdtro luanda point 33
11) Etoil du Sahel point 32
12) Horoya point 31
13) Simba & Setif wote point 28
Pyramids wana mchezaji waliyemsajili kwa billioni 2 za kitanzania asilimia kumi kwenye zile billioni 20 za tajiri yenu alizowekeza SIMBAWasalam nimeona kwenye website ya kuaminika klabu ya Simba Sc, ni ya tatu kwa utajiri Africa, ya kwanza Al Ahly, ya pili Zamalek.
Orodha ya klabu tajiri Africa.
1. Al Ahly
2. Zamalek.
3. Simba
4. Pyramids.
5 .Esperance.
6. Raja
7.Wydad
8. Tp Mazembe.
9. Mamelodi.
10. Kaizer Chief
Chuki kwa Simba zitakuja kuwauweni.
Simba kwa ubora Africa inaweza kuwa kwenye top ten.
1. AlAhly
2. Wydad
3. Esperance
4.Mamelod Sundowns
5. TP Mazembe
6. Raja Casablanca
7. Atletico Petroles de Luanda
8. Simba Sports
9. Zamalek
10 Horoya Athletics
Hivi nyie makolo mbona mnajitoa sana ufahamu. Timu Haina hata uwanja unasema ni ya tatu. Mchezaji Gali kabisa analipwa Dola 11000. Huku Kuna vilabu hiyo ni hela ya mchezaj wa mwisho kabisa. Halafu unaleta uduwanzi wako hapaWasalam nimeona kwenye website ya kuaminika klabu ya Simba Sc, ni ya tatu kwa utajiri Africa, ya kwanza Al Ahly, ya pili Zamalek.
Orodha ya klabu tajiri Africa.
1. Al Ahly
2. Zamalek.
3. Simba
4. Pyramids.
5 .Esperance.
6. Raja
7.Wydad
8. Tp Mazembe.
9. Mamelodi.
10. Kaizer Chief
Sawa, ingependeza ukiattach link.Wasalam nimeona kwenye website ya kuaminika klabu ya Simba Sc, ni ya tatu kwa utajiri Africa, ya kwanza Al Ahly, ya pili Zamalek.
Orodha ya klabu tajiri Africa.
1. Al Ahly
2. Zamalek.
3. Simba
4. Pyramids.
5 .Esperance.
6. Raja
7.Wydad
8. Tp Mazembe.
9. Mamelodi.
10. Kaizer Chief
Vigeza plsWasalam nimeona kwenye website ya kuaminika klabu ya Simba Sc, ni ya tatu kwa utajiri Africa, ya kwanza Al Ahly, ya pili Zamalek.
Orodha ya klabu tajiri Africa.
1. Al Ahly
2. Zamalek.
3. Simba
4. Pyramids.
5 .Esperance.
6. Raja
7.Wydad
8. Tp Mazembe.
9. Mamelodi.
10. Kaizer Chief
Simba hawawezi kuwa nje ya vilabu 10 kwa ubora.Fatilia mi shabiki wa Simba haswa ila nakataa
Iko nafasi ya ngapi ?Simba haipo kwenye kumi bora kwa ubora kwa mujibu wa CAF five year ranking report..tutolee huu upuuzi wako
Nilikuwa najibu comment ilizungumzia uboraMkuu si ubora mada ni utajiri
Shabiki wa kitopooloKwani ungepinga bila kujitaja kuwa we ni mshabiki wa Simba kulikuwa na shida?
kwa ubora mpaka sasa ni ya 13 (caf club ranking)!Uongo
Hata kwa ubora simba haipo top 20 Afrika