Simba 'Yafa Kiume' huko Lindi. Kupokelewa kishujaa Dar es salaam

Simba 'Yafa Kiume' huko Lindi. Kupokelewa kishujaa Dar es salaam

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Kilabu ya mpira wa miguu yenye makazi yake Msimbazi jijini Dar es salaam imepambana hatimaye kushindwa kutwaa alama tatu ugenini katika dimba la Majaliwa, Dhidi ya Club ya Namungo, Yenye makazi yake huko Lindi.

Magoli hayo yaliyofungwa na Baleke kwa upande wa Simba na Kabunda kwa upande wa Namungo yamepelekea mchezo huo kumalizika kwa sare ya alama 1 huku bingwa mtetezi na mwakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa barani Afrika Young Africans akisalia kileleni.

IMG_20230429_200940.jpg
 
Kilabu ya mpira wa miguu yenye makazi yake Msimbazi jijini Dar es salaam imepambana hatimaye kushindwa kutwaa alama tatu ugenini katika dimba la Majaliwa, Dhidi ya Club ya Namungo, Yenye makazi yake huko Lind....
"huku bingwa mtetezi na mwakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa barani Afrika Young Africans"

Nakazia
 
Kilabu ya mpira wa miguu yenye makazi yake Msimbazi jijini Dar es salaam imepambana hatimaye kushindwa kutwaa alama tatu ugenini katika dimba la Majaliwa, Dhidi ya Club ya Namungo, Yenye makazi yake huko Lind...
Aaaahaa
 
Kilabu ya mpira wa miguu yenye makazi yake Msimbazi jijini Dar es salaam imepambana hatimaye kushindwa kutwaa alama tatu ugenini katika dimba la Majaliwa, Dhidi ya Club ya Namungo, Yenye makazi yake huko Lindi.

Magoli hayo yaliyofungwa na Baleke kwa upande wa Simba na Kabunda kwa upande wa Namungo yamepelekea mchezo huo kumalizika kwa sare ya alama 1 huku bingwa mtetezi na mwakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa barani Afrika Young Africans akisalia kileleni.

View attachment 2608933
Imetoka sare kiume
 
Simba ilikufa kiume ikiwa Morocco; huko Lindi imezikwa kiume, sasa na tusubiri ioze kiume!
Azam ataizika kiume, kombe pekee atakalobaki nalo ni KUFA KIUME CUP na atapewa medali za chuma zilizonakshiwa HATUWADAI
 
Kilabu ya mpira wa miguu yenye makazi yake Msimbazi jijini Dar es salaam imepambana hatimaye kushindwa kutwaa alama tatu ugenini katika dimba la Majaliwa, Dhidi ya Club ya Namungo, Yenye makazi yake huko Lindi.

Magoli hayo yaliyofungwa na Baleke kwa upande wa Simba na Kabunda kwa upande wa Namungo yamepelekea mchezo huo kumalizika kwa sare ya alama 1 huku bingwa mtetezi na mwakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa barani Afrika Young Africans akisalia kileleni.

View attachment 2608933
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......kufa kiume FC........manina.
 
Back
Top Bottom