babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Kwa mara nyingine tena mabingwa wa robo fainal caf Simba Leo wamefanikiwa Tena kufa kiume huko mtwara baada ya kubanduliwa goli 2-1 na Azam katika mchezo wa nusu fainali Azam Confedaration Cup.
Hongereni sana wachezaju wa Simba Kwa kuendelea kuilinda rekodi yenu ya kufa kiume[emoji23][emoji23][emoji23]
Hongereni sana wachezaju wa Simba Kwa kuendelea kuilinda rekodi yenu ya kufa kiume[emoji23][emoji23][emoji23]