Simba yaifunga KMC kwa magoli 2 -1 uwanja wa CCM Kirumba

Game ya costal alifunga penalt mbona hamkuongea enyi mikia?

46+ kafanya yake tulieni
Penalt anapata Okwi anapiga Kagera ambaye hajafunga kitambo, kwaninu usimwachie mwenye form ya kufunga
 
Jamani kwanini Azam asitufanyie fair kwa kutuonyehsea mpira Youtube,Application yao ya kwenye simu inatuumiza macho,
 
Simba tunabebwa waziwazi. Pamoja na ushabiki lkn hili linaaribu ladha ya mchezo.
 
Hata ingetokea yanga hii nisingeshangilia kabisa..yan ligi yetu bado sana aisee

Njaa zinaharibu hii ligi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…