Simba yaingiza wa 4 kikosi bora cha week

Simba yaingiza wa 4 kikosi bora cha week

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Hawaaaaaaami macho yaaooooooooooooo ...........hawaaamini macho yaoooooooooo....hawaamini macho yaoooooooo ,kamaaaaaatiiiiiii ya mapoooooookeziiiiii hawaaaaamini macho yaoooooooo
Ingonga, Mugalu,Bm 3 na kanoute ndani ya kikosi bora cha week.

team of the week.png
 
na ukawe mwendelezo mzuri kwa michuano inayofuatia
 
Maana halisi ya Timu kubwa.

Wale wacha mbuzi wa mchongo kimyaa

Walijiandaa kuisema simba leo
 
Maana halisi ya Timu kubwa.

Wale wacha mbuzi wa mchongo kimyaa

Walijiandaa kuisema simba leo
wamekuwa wanyoonge sana watoa bahasha za khaki wamenuna sasa boss akinuna unadhani inakuwaje?
 
Hawaaaaaaami macho yaaooooooooooooo ...........hawaaamini macho yaoooooooooo....hawaamini macho yaoooooooo ,kamaaaaaatiiiiiii ya mapoooooookeziiiiii hawaaaaamini macho yaoooooooo
Ingonga, Mugalu,Bm 3 na kanoute ndani ya kikosi bora cha week.

View attachment 2175312
Atakuja mwehu moja alietoka kuchunga Ng'ombe wa mayele atakuambia Mugalu, kanute waondoke
 
Hawaaaaaaami macho yaaooooooooooooo ...........hawaaamini macho yaoooooooooo....hawaamini macho yaoooooooo ,kamaaaaaatiiiiiii ya mapoooooookeziiiiii hawaaaaamini macho yaoooooooo
Ingonga, Mugalu,Bm 3 na kanoute ndani ya kikosi bora cha week.

View attachment 2175312
Hicho kikosi kinaenda kucheza mashindano gani na lini?
 
Back
Top Bottom