njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
ile si ilikuwa round ya 5? na alikuwa pekee yake aliyeingia kwenye kikosi , hiki ni cha matchday 6 ya jana na juziYake mapenati ya Manula vipi
wanadai CAf inahongwa na simbaTuwache kidogo watalia Utopolo
Manara hakukosea wako tupu kichwaniwanadai CAf inahongwa na simba
Hapa anawakumbushia jinsi team yao ilivyo na historia ya kutukuka afrikaManara hakukosea wako tupu kichwani
Hiki ni kikosi cha round 6. Rating ya hatua ya makundi hii hapa:Yake mapenati ya Manula vipi
wamekuwa wanyoonge sana watoa bahasha za khaki wamenuna sasa boss akinuna unadhani inakuwaje?Maana halisi ya Timu kubwa.
Wale wacha mbuzi wa mchongo kimyaa
Walijiandaa kuisema simba leo
Unapunguza UTAMU [emoji23]Nyie akina kabwili mnahesabu lakini.
Atakuja mwehu moja alietoka kuchunga Ng'ombe wa mayele atakuambia Mugalu, kanute waondokeHawaaaaaaami macho yaaooooooooooooo ...........hawaaamini macho yaoooooooooo....hawaamini macho yaoooooooo ,kamaaaaaatiiiiiii ya mapoooooookeziiiiii hawaaaaamini macho yaoooooooo
Ingonga, Mugalu,Bm 3 na kanoute ndani ya kikosi bora cha week.
View attachment 2175312
Hicho kikosi kinaenda kucheza mashindano gani na lini?Hawaaaaaaami macho yaaooooooooooooo ...........hawaaamini macho yaoooooooooo....hawaamini macho yaoooooooo ,kamaaaaaatiiiiiii ya mapoooooookeziiiiii hawaaaaamini macho yaoooooooo
Ingonga, Mugalu,Bm 3 na kanoute ndani ya kikosi bora cha week.
View attachment 2175312
Ile ilikuwa raundi ya 5,hiki ni kikosi raundi ya 6Yake mapenati ya Manula vipi
wakulima wa kahawa unawahutubia kuhusu kilimo bora cha pamba.Hicho kikosi kinaenda kucheza mashindano gani na lini?