Simba Yaitoa Setif: Simba1-3Setif.

Simba Yaitoa Setif: Simba1-3Setif.

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Akuna raha kama mtu anaejua ajui akajitapa na kuamini akuna mwingine kama yeye
kama vile niliota jana nikamwambia rafiki wangu shafii wa clouds simba watarudi kwa aibu dar kama uamini ni dk ya 79 setif 3.simba 0
 
mi nasemaje nawatakia safari njema mrudi salama naambiwa rage kaomba abadilishiwe tkt yake mida hii sijui anataka kwenda somalia moja kwa moja...dk ya 86 simba wanakoswa goli hapaaa teeehheeeteee at tushazoea kupanda ndege mara mbili loh njooni mjipange kupanda mara ya tatu...anatoka amir maftah
 
Endeleeni kusali jamani kaka zetu wasirudi kwa mafungu
 
Simba!Simba,Simba imeitoa Setif baada ya kufungwa 3-1.Okwi Shujaa.
 
Si ndo hapo toka lin mpira ukachezwa dk.79 mpira unaisha baada ya kipenga cha mwisho
 
weeeeeeeeeeeee utaolewa acha kumuiga shekhe yahaya hapa
 
Akuna raha kama mtu anaejua ajui akajitapa na kuamini akuna mwingine kama yeye
kama vile niliota jana nikamwambia rafiki wangu shafii wa clouds simba watarudi kwa aibu dar kama uamini ni dk ya 79 setif 3.simba 0
Mkuu Basiasi uungwana ni vitendo. Rudi uwapongeze wekundu wa msimbazi. Nafikiri utakua umejifunza kitu leo! Remember that it is not over if it is not burried yet! Mnyama ame prove hiyo statement! Kuwa true
 
Akuna raha kama mtu anaejua ajui akajitapa na kuamini akuna mwingine kama yeye
kama vile niliota jana nikamwambia rafiki wangu shafii wa clouds simba watarudi kwa aibu dar kama uamini ni dk ya 79 setif 3.simba 0
Ume prove failure mtu wangu!
 
mkuu basiasi uungwana ni vitendo. Rudi uwapongeze wekundu wa msimbazi. Nafikiri utakua umejifunza kitu leo! Remember that it is not over if it is not burried yet! Mnyama ame prove hiyo statement! Kuwa true
watani mmenifurahisha sana sana kwa kweli
wacha niangalie kitabu si kinaruhusu kitimoto kuanzia sasa ama ndio atuli nyama mpaka jumapili??
Good job okwiiiiiiiii
 
Safi@BASIAS kwa kumkubali Mnyama. Natumaini kwenye mapokezi tutakuwa pamoja.
 
Back
Top Bottom