Simba yaizabua Al Khadood bao 4 0

Simba yaizabua Al Khadood bao 4 0

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Nimeuona mpira wa Simba Leo, kiukweli japokuwa wameshinda bao 4 0 lakn mpira umepigwa mwingi sana, bao la kwanza alifunga Mosses Phiri, Mkude akaweka la 2, Kagere akaweka la 3 na Pape Sakho akamalizia la nne, wachezaji wote walipata nafasi za kucheza, yanga jiandae, hii Simba sio ya bongo tu, labda mkeshe kwa waganga huko Avic
 
Nimeuona mpira wa Simba Leo, kiukweli japokuwa wameshinda bao 4 0 lakn mpira umepigwa mwingi sana, bao la kwanza alifunga Mosses Phiri, Mkude akaweka la 2, Kagere akaweka la 3 na Pape Sakho akamalizia la nne, wachezaji wote walipata nafasi za kucheza, yanga jiandae, hii Simba sio ya bongo tu, labda mkeshe kwa waganga huko Avic
Kweli mkuuu
 
Heheheheeeeeeeeee...mtani jipange!! Mtanena kwa lugha round hii
 
Hicho kitimu cha wapi na kipo daraja la ngapi?
 
Hiv simba leo kacheza na al akhood au abo hamad hili ni jina moja tu maan naona ahmed ally kaandka kvyake na page ya smba wameandka kivyake
 
Nimeuona mpira wa Simba Leo, kiukweli japokuwa wameshinda bao 4 0 lakn mpira umepigwa mwingi sana, bao la kwanza alifunga Mosses Phiri, Mkude akaweka la 2, Kagere akaweka la 3 na Pape Sakho akamalizia la nne, wachezaji wote walipata nafasi za kucheza, yanga jiandae, hii Simba sio ya bongo tu, labda mkeshe kwa waganga huko Avic
Kumbe mme enda kuiwekea kambi Yanga haya sawa sisi tupo Morogoro tunakula miwa tunawasubiri mtoke kwa firauni
 
Back
Top Bottom