Simba yalamba donge nono

Kwa upande mwingine, Klabu ya Simba wamedai walipwe pesa ya nauli ya ndege waliyomlipia mchezaji huyo pindi wamemchukua ambapo Yanga wamekubali kuilipa pesa hiyo.


Yanga hatunaga tabu na pesa ndogo kama hizo kwani nini!!
Mmehurumiwa mnaanza kuleta nyodo uchwara!
Au mnataka kumrejesha tshishimbi kwao?
 
Kwa upande mwingine, Klabu ya Simba wamedai walipwe pesa ya nauli ya ndege waliyomlipia mchezaji huyo pindi wamemchukua ambapo Yanga wamekubali kuilipa pesa hiyo.


Yanga hatunaga tabu na pesa ndogo kama hizo kwani nini!!

Simba bana, ni sheedar.
Walimsafirisha kwenye basi la Najimunisa halafu leo wanadai walimsafirisha kwa ndege.
 
Kwa upande mwingine, Klabu ya Simba wamedai walipwe pesa ya nauli ya ndege waliyomlipia mchezaji huyo pindi wamemchukua ambapo Yanga wamekubali kuilipa pesa hiyo.


Yanga hatunaga tabu na pesa ndogo kama hizo kwani nini!!
Kwl hizi kauli za maskini hatari ebu chukua nauli ya ndege au bus ya bakhresa then ww uende kwa mengi uone kama hautoirudisha iyo ndo heshima ya pesa bna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba bana, ni sheedar.
Walimsafirisha kwenye basi la Najimunisa halafu leo wanadai walimsafirisha kwa ndege.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najimunisa

Sent from my iDevice using Tapatalk
 
hahhaha eti jahazi linazama, miaka ya karibuni simba huwa anaanza kwa mbwembwe ligi ikichanganya anakimbilia uswisi

Sio mbwembwe za ligi.hapa hoja ni buswite.kwani buswite ni mbwembwe!!!Kwa nn unapenda kula bila kunawa!!!
 
Ukweli viongozi wametumia busara sana. Hongereni viongozi wa simba ila ni vema ikawekwa adhabu kali kwa wenye tabia hiyo. Yanga walituumiza kwa kesi tukatumia busara leo wamekuja tena kwa huyu kijana. Hivi hawa kenge wakoje?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi sheria zinasemaji team inayoingia mkataba na mchezaji aliye katika mkataba na team nyingine naombwa kufahamishwa?
ccc@sembo
 
hivi sheria zinasemaji team inayoingia mkataba na mchezaji aliye katika mkataba na team nyingine naombwa kufahamishwa?
ccc@sembo

Mkuu, ni kufungiwa tu, na ndiyo maana Buswita alifungiwa mwaka mmoja mara moja baada ya kubainika kosa lake. Lakini kwa kua pande zote mbili {Simba na Ndala} zilikaa na kila pande ikaridhika na maaamuzi {win win situation}, ndiyo maana kijana kafunguliwa toka korokoroni.
 
Hata mimi siwaelewi kabisa.
Mbuyu twite wakaja kwa Ngasa wakaja kwa kessy wamekuja kwa huyu roswita sijui buswita na kote inawakata.
Bila simba kutumia busara kessy hadi sasa angekuwa anaozea nje na mpira ingekuwa kwa heri. Wachezaji acheni tamaa. Simba wangefuata mkataba wa kessy wangeifilisi yanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeuliza team sio mchezaji sheria zinasemaje kuhusu ilo la kuingia mkataba wakati mchezaji bado yupo ndani ya mkataba bila kuishirikisha team yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…