Simba yamalizana na Waamuzi wa Mechi Yao ya Kesho

Simba yamalizana na Waamuzi wa Mechi Yao ya Kesho

Kitimoto

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2012
Posts
6,941
Reaction score
7,808
Kama kawaida kwa mechi zake timu hiyo kongwe imemalizana na Waamuzi wa mechi ya kesho. Waamuzi hao wameshalamba sehemu ya mlungula wao kuhakikisha timu inashinda ikiwemo kutoa penalti na kumtoa nje ya uwanja mchezaji wa timu pinzani kwa kadi nyekundu.

Wameangaika kuwarubuni baadhi ya wachezaji.
 
Kama kawaida kwa mechi zake timu hiyo kongwe imemalizana na Waamuzi wa mechi ya kesho. Wahamuzi hao wameshalamba sehemu ya mlungula wao kuhakikisha timu inashinda ikiwemo kutoa penalti na kumtoa nje ya uwanja mchezaji wa timu pinzani kwa kadi nyekundu.

Wameangaika kuwarubuni baadhi ya wachezaji.
Kama ni kweli wamefanya kazi njema iliyotukuka.
 
Screenshot_20250223-212815_Facebook.jpg
 
Kama kawaida kwa mechi zake timu hiyo kongwe imemalizana na Waamuzi wa mechi ya kesho. Wahamuzi hao wameshalamba sehemu ya mlungula wao kuhakikisha timu inashinda ikiwemo kutoa penalti na kumtoa nje ya uwanja mchezaji wa timu pinzani kwa kadi nyekundu.

Wameangaika kuwarubuni baadhi ya wachezaji.
Kama yanga walivyofanya kwa mashujaa leo
 
Kama kawaida kwa mechi zake timu hiyo kongwe imemalizana na Waamuzi wa mechi ya kesho. Wahamuzi hao wameshalamba sehemu ya mlungula wao kuhakikisha timu inashinda ikiwemo kutoa penalti na kumtoa nje ya uwanja mchezaji wa timu pinzani kwa kadi nyekundu.

Wameangaika kuwarubuni baadhi ya wachezaji.
Kenge kabisa
 
Kama kawaida kwa mechi zake timu hiyo kongwe imemalizana na Waamuzi wa mechi ya kesho. Wahamuzi hao wameshalamba sehemu ya mlungula wao kuhakikisha timu inashinda ikiwemo kutoa penalti na kumtoa nje ya uwanja mchezaji wa timu pinzani kwa kadi nyekundu.

Wameangaika kuwarubuni baadhi ya wachezaji.
WAHAMUZI Ndiyo Watu Gani Huko Dar Es Salaam
 
Kama kawaida kwa mechi zake timu hiyo kongwe imemalizana na Waamuzi wa mechi ya kesho. Wahamuzi hao wameshalamba sehemu ya mlungula wao kuhakikisha timu inashinda ikiwemo kutoa penalti na kumtoa nje ya uwanja mchezaji wa timu pinzani kwa kadi nyekundu.

Wameangaika kuwarubuni baadhi ya wachezaji.
Tutajie basi majina ya waamuzi wa mechi hiyo ya kesho .
 
WAHAMUZI WAHAMUZI
WAHAMUZI
WAHAMUZI

WAHA KUTOKA KIGOMA SIO WATANZANIA HAKI YA MUNGU TENA.
 
Kama kawaida kwa mechi zake timu hiyo kongwe imemalizana na Waamuzi wa mechi ya kesho. Wahamuzi hao wameshalamba sehemu ya mlungula wao kuhakikisha timu inashinda ikiwemo kutoa penalti na kumtoa nje ya uwanja mchezaji wa timu pinzani kwa kadi nyekundu.

Wameangaika kuwarubuni baadhi ya wachezaji.
Kudhamini timu moja mwaka mzima ni zaid ya mil 70, ila ukimtengea refa mil 10 na marudiano 10 jumla unatumia mil 20 kupata matokeo ambayo GSM anatumia zaid ya mil 70 kuyapata, akili tu mtu wangu
 
Zile kadi nyekundu feki, na penati za mchongo huwa zinanunuliwa kwa bei ya juu sana. Ila ni kwa wale waamuzi wasiojitambua tu. Mwamuzi kama Arajiga sidhani kama ananunulika. Na ndiyo tutamuona tarehe 8 bila shaka.
 
Back
Top Bottom