Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Makolo wanadharaulika Sana , sema wao wanajiona walikufa kiume kumbe hata Wydad wenyewe wanajijua ni Tia maji Tia maji
Timu inakutoa na bado inafukuza kocha jiulize wamekuchukuliaje?Aache kudharaulika aliyetolewa hatua za awali za Champions League, aje adharauliwe Simba aliyeingia robo fainali?
Hongereni sana Simba kwa ilo swala. Hakika mnazidi kuupiga mwingi 😅Wydad Casablanca ambayo inatarajiwa kumenyana na Mamelodi Sundowns katika hatua ya semi final ya ligi ya mabingwa afrika imemfukuza kazi kocha wake mhispania Juan Carlos.
Kazi ya ukocha amepewa Sven, kocha wa zamani wa Simba.
Sababu za kumfukuza kazi kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa ni madai ya uongozi kuwa they are not convinced with the performance hasa hasa wanaamini Wydad sio timu ya kupata ushindi kwa taaaaabu dhidi ya Simba kwenye mechi zote 2.
Wanadai Wydad ilikuwa ya kuipiga Simba nje na ndani tena kwa mabao mengi tu.
Uongozi umedai kama Raja aliweza kumpiga nje ndani iweje wao wapate taabu.
Wameona kocha huyo atawapigisha shoti na Mamelod, hivyo wamemalizana naye mapema t
Hongereni sana Simba kwa ilo swala. Hakika mnazidi kuupiga mwingi kimataifa 😅Wydad Casablanca ambayo inatarajiwa kumenyana na Mamelodi Sundowns katika hatua ya semi final ya ligi ya mabingwa afrika imemfukuza kazi kocha wake mhispania Juan Carlos.
Kazi ya ukocha amepewa Sven, kocha wa zamani wa Simba.
Sababu za kumfukuza kazi kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa ni madai ya uongozi kuwa they are not convinced with the performance hasa hasa wanaamini Wydad sio timu ya kupata ushindi kwa taaaaabu dhidi ya Simba kwenye mechi zote 2.
Wanadai Wydad ilikuwa ya kuipiga Simba nje na ndani tena kwa mabao mengi tu.
Uongozi umedai kama Raja aliweza kumpiga nje ndani iweje wao wapate taabu.
Wameona kocha huyo atawapigisha shoti na Mamelod, hivyo wamemalizana naye mapema t
Wydad Casablanca ambayo inatarajiwa kumenyana na Mamelodi Sundowns katika hatua ya semi final ya ligi ya mabingwa afrika imemfukuza kazi kocha wake mhispania Juan Carlos.
Kazi ya ukocha amepewa Sven, kocha wa zamani wa Simba.
Sababu za kumfukuza kazi kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa ni madai ya uongozi kuwa they are not convinced with the performance hasa hasa wanaamini Wydad sio timu ya kupata ushindi kwa taaaaabu dhidi ya Simba kwenye mechi zote 2.
Wanadai Wydad ilikuwa ya kuipiga Simba nje na ndani tena kwa mabao mengi tu.
Uongozi umedai kama Raja aliweza kumpiga nje ndani iweje wao wapate taabu.
Wameona kocha huyo atawapigisha shoti na Mamelod, hivyo wamemalizana naye mapema t
Ha ha ha ha ha ha haKabati la Simba linazidi kujaa makombe, Hilo nalo ni kombe la tatu.
Simba guvu moya.Aache kudharaulika aliyetolewa hatua za awali za Champions League, aje adharauliwe Simba aliyeingia robo fainali?
Hii ni dharau nzito kwa Simba.Timu inakutoa na bado inafukuza kocha jiulize wamekuchukuliaje?