permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Striker kama Baleke?Kwenye mfumo wa 4-3-3 wote wakicheza itakuwa balaa.
Bado striker tu mtaomba poo[emoji3]
Baleke is good but he’s not clinicalStriker kama Baleke?
Uwongo ,Jana nimehitimisha kwamba msemaji wa simba ni mwehu. Anasema simba wamenyang'anyana huyu mchezaji na timu kibao za Tunisia wakati kiukweli alikuwa free agent na amekaa kitaa muda mrefu hamna anae mtaka.
Amekaa kitaa kwa muda gani? Halafu wewe ambaye sio mwehu unafwatiliaje habari za wehu?Jana nimehitimisha kwamba msemaji wa simba ni mwehu. Anasema simba wamenyang'anyana huyu mchezaji na timu kibao za Tunisia wakati kiukweli alikuwa free agent na amekaa kitaa muda mrefu hamna anae mtaka.
Sasa kama tunakubaliana kuwa Mzize ana 19, tunakataaje kuwa Onyango alikuwa na miaka 28 wakati anasajiliwa na Simba Sc?Sawa ina maana huyo Mzize kamzidi.....?
Onyango the wonder Kid kwa hiyo sasa ana 30 aiseeee,ila hata Saido wakati tuna msajili alikuwa na miaka 22 ila na sikia siku hizi mmemuweka kundi la wazeeSasa kama tunakubaliana kuwa Mzize ana 19, tunakataaje kuwa Onyango alikuwa na miaka 28 wakati anasajiliwa na Simba Sc?
Labda mtueleze wakati Saidoo anasajiliwa kwenu alikuwa na umri gani ili hesabu yetu ianzie hapo.Onyango the wonder Kid kwa hiyo sasa ana 30 aiseeee,ila hata Saido wakati tuna msajili alikuwa na miaka 22 ila na sikia siku hizi mmemuweka kundi la wazee
Ameletwa kwa kazi maalum, vaeni tena misuli uwanjaniKwa muujibu wa wikipedia narudia tena kwa muujibu wa wikipedia BABACAR SARR ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka senegal, mtuhumiwa wa ubakaji mara mbili, hakuwahi kuonekana mahakamani, anatafutwa na interpol pia hajulikani alipo kwa sasa.
Cha kushangaa nn hapo free agent hagombewi na timu na zikanyang'anyana???Jana nimehitimisha kwamba msemaji wa simba ni mwehu. Anasema simba wamenyang'anyana huyu mchezaji na timu kibao za Tunisia wakati kiukweli alikuwa free agent na amekaa kitaa muda mrefu hamna anae mtaka.